CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 4,984
- 4,083
Niwale walio Geita mkuu sio weweSitaki kuwa mnafiki. SIJI HUKO
Niwale walio Geita mkuu sio weweSitaki kuwa mnafiki. SIJI HUKO
Mambo ni makubwa sana endelea kukaa kwa utulivu tuMuda mfupi wa matozo na mitozo. Twafaaaaaaaaaa
Shaka ni mtu na nusu,Huyu mtu ni makini sana aise tumuunge mkono Mhe Shaka
Hivi kwa akili ya haraka haraka kuna mtumishi yeyote wa umma atafanyia.ama.hufanyia kazi maelekezo na.matamko ya viongozi wa chama!Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka wakati akisoma Azimio la kumpongeza Mwenyekiti wa CCM ambaye ni amiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri zilizotukuka tena zilizofanyika kwa kipindi kifupi Shaka amewataka Viongozi wote wa Kamati za Siasa kuanzia Kata, Wilaya hadi mkoa kuhakikisha hakuna senti moja ya mradi wowote wa umma|Serikali inatafunwa na aliyewaita " Mchwa " yaani majizi,
Mhe Shaka amewakumbusha Viongozi wa kamati za Siasa kuwa Chama Cha Mapinduzi ndio Chama kilichopewa ridhaa na Watanzania na ndio chenye Jukumu la kuhakikisha Wananchi wanafikiwa na huduma zote muhimu kwa wakati kwani Ilani inayotekelezwa ni Ilani ya CCM ya 2020|25,Mhe Shaka amesisitiza miradi yote ya mkopo wa IMF kwa mujibu wa Serikali itamalizika baada ya miezi tisa ( 9 ) hivyo kamati zote za Siasa zifuatilie kwa Ukaribu sana miradi hii,
Katibu huyo wa Itikadi na Uenezi Taifa amesema kuwa Chama cha Mapinduzi hakitamvumilia yeyote atakayehusishwa na rushwa au Ufisidi wa fedha za miradi ya wananchi huku akiwataka kamati zote za Siasa kuzielekeza dola kuwafikisha michwa hao kwenye vyombo vya kisheria ikiwa ni baada ya kujiridhisha kuwako na ubadhilifu wa pesa za miradi yote zikiwemo pesa za mkopo wa TZS 1.3Trilioni toka IMF ambao Rais wetu ameupata kwa sababu tu ya imani ya Wahisani kwake na kila mtanzania atahusika kuulipa mkopo huo hivyo pesa hizo sio Sadaka zilindwe kwa wivu mkubwa,
Nenda kamuulize RC Mstaafu wa Shinyanga DK Sengati Chama kilimfanya nini?Hivi kwa akili ya haraka haraka kuna mtumishi yeyote wa umma atafanyia.ama.hufanyia kazi maelekezo na.matamko ya viongozi wa chama!
Huku huwa ni kujifurahisha tu na matamko ili kuelewa na kuona wanafanya kazi, viongozi hawa wanajisahaulisha kuwa enzi za chama kushika Dola ni zilipendwa, wanashindwa kuwa na fundamental approach ya kazi na majukumu yao.
Mawaziri ama chiefs wote watumishi mwisho wa siku wanafuata hierarchy ya maboss wao ktk utumishi na si kiongozi sijui wa chama. That's not realistic ila watabisha tu.
If anything happens you report na unaujua responsible to the hierarchy na sio kwa mwenezi. Furahisha genge
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Tatizo watu hawajui kila wanaomuona serikalini ni zao la ChamaNenda kamuulize RC Mstaafu wa Shinyanga DK Sengati Chama kilimfanya nini?
Chama kikukataa siku haiishi,
Viongozi Wote wa Serikali boss wao ni chama,
Asante
Kaziindelee kwa kasi & wekedi zaidiNATAKA KUHAMIA CCM WAKUU,
mimi ni chadema kitambo ila kwa sasa kwa yanayoendelea nimeamua nihamie tu CCM,
Chama na Serikali wote wananifurahisha sana na nimeridhika naweza kuishi CCM, Naombeni kadi wakuu
Hongera Chama cha Mapinduzi
PoaAcha ufala mkuu
😍😍😍Tatizo watu hawajui kila wanaomuona serikalini ni zao la Chama
Huyu jamaa anatuchokonoa sanaMsimsahau na yule paka weusi wenye macho mekunduView attachment 1975359
Huyu jamaa anatuchokonoa sana
Miezi sita ya Rais Samia,NATAKA KUHAMIA CCM WAKUU,
mimi ni chadema kitambo ila kwa sasa kwa yanayoendelea nimeamua nihamie tu CCM,
Chama na Serikali wote wananifurahisha sana na nimeridhika naweza kuishi CCM, Naombeni kadi wakuu
Hongera Chama cha Mapinduzi
Ujinga huuMsimsahau na yule paka weusi wenye macho mekunduView attachment 1975359
Safi sana mama SamiaMiezi sita ya Rais Samia,
Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona
#KAZIIENDELEE
Ujinga huu