Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,530
- 2,141
- Thread starter
- #21
Kaziiendelee
Hakuna uchaguzi hapo ni ubaguziKwa time hii unafikiri wakiamua kumtangaza ccm kibabe Nani wa kupinga. Uwege na akiri Basi hata za kushikiwa
Siyo yupo Bombo kweli?Huyu shaka huku Tanga tunamuita shemela. Ana mahusiano na bwana mmoja anaitwa Salum mpelembwe. Shaka ni kama ameolewa na mchizi . Wote ni makada wa chama cha mapinduzi hawa
Well saidchaguzi kama hizi ni bora wao CCM wajitangaze tu wameshinda, there's no point kushiriki uchanguzi ambao,
- Mwenyekiti wa uchaguzi anateuliwa na mwenyekiti wa chama shiriki ktk huo uchaguzi
- Makamishina wa uchaguzi wanateuliwa na mwenyekiti wa chama shiriki ktk huo uchaguzi
- Wasimamizi wa uchaguzi wanateuliwa na mwenyekiti wa chama shiriki ktk huo uchaguzi
- State machinery ie polisi, mahakama etc wapo kulinda maslahi wa chama tawala na sio kuweka mazingira huru,haki na ya usawa kushiriki uchaguzi
Hakuna usawa kwenye kufanya shughuli za kisiasa kama sheria inavyotaka ie hakuna makongamano na mikutano ya kujenga, kuimarisha na kutoa elimu ya uraia kwa wananchi hapa tunaona wanaoruhusiwa ni chama tawala tu maana take hivi vyama vingine havipati nafasi ya kujijenga na kutoa mawazo mbadala ili kumpa mwananchi nyezo na uwezo wa kufanya uamuzi sahihi kwenye uchaguzi.kujumla chaguzi za Tanzania ni kiini macho tu kwa muktadha wa demokrasia ya vyama vingi
Inawezekana maana wapo muda mrefu sanaSiyo yupo Bombo kweli?