CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 4,983
- 4,080
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,
#KAZIIENDELEE NA MAMA
#KAZIIENDELEE NA MAMA
Sasa na wewe siunde ukamlie tuAkina Makonda, Polepole nk pia mliwasifia hivyo hivyo nyie ni wachumia tumbo tu tunawafahamu vizuri sana.
Huyo mnayemsifia ameifanyia nini nchi hii na hapo sasa mmeshaanza kumlia hela yake, sio bure.
Upinzani upi tena?Mi nilidhani maadui zetu wa kuwafuta ni Ujinga, Umasikini na Magonjwa kumbe tunapigana vita na Wapinzani ? Huku ni kupoteza resources
Nchi haihitaji mtu kuwa msumali wa moto Kwa wapinzani Bali msumali wa moto kuwaletea wananchi maendeleo.Msingi wake ukiwa ni aina ya Siasa anazozifanya kijana huyu Mzalendo wa kweli wa Taifa hili zimekizolea umaarufu na heshima kubwa ndani na nje ya nje Chama cha Mapinduzi kwa kipindi hiki kifupi tangu kuteuliwa kwake,
Siasa zake za msimamo wa wastani na kuegemea zaidi kwenye kusikiliza na kutatua matatizo na shida za watu bila kujali itikadi wala hali yoyote zimemfanya Shaka Hamdu Shaka awavute watu wengi hasa vijana kujuinga na Chama Cha Mapinduzi,
Shaka pamoja na fitina na figisu nyingi alizofanyiwa huko nyuma kamwe hazijawahi kumfanya alege kwenye kukitetea na kukipigania Chama Cha Mapinduzi zaidi sana kijana huyu alisamehe na kusahau leo Shaka amegeuka kuwa darasa la Uongozi na viongozi kwa vijana wengi wa CCM na hata kwawale wasiokuwa na vyama au wavyama vingine,
Wakasema Shaka Hamdu Shaka anakula rushwa wakamsimamisha uongozi kijana huyu mwenye hulka ya Upole na Unyenyekevu hakujali wala kukata tamaa zaidi sana akaendelea kuchapa kazi kwa weledi na bidii zaidi kuliko mwanzo,
Vijana wa Tanzania tunachakujifunza toka kwa kijana huyu Mzalendo wakutiliwa mfano, Pamoja na Vita kubwa kubwa na nzito alizopigwa leo hii Shaka amegeuka lulu ndani ya Chama Cha Mapinduzi,Leo ndio mtu anayerudisha imani kwa Watanzania kuendelea kuiamini CCM-Tanzania
#Vijana Uvumilivu Unalipa sana,
View attachment 2019626
View attachment 2019627
View attachment 2019629
View attachment 2019631
View attachment 2019632
View attachment 2019636
View attachment 2019686
View attachment 2019687
View attachment 2019688
View attachment 2019689View attachment 2019706
😀😀😀Nchi haihitaji mtu kuwa msumali wa moto Kwa wapinzani Bali msumali wa moto kuwaletea wananchi maendeleo.
Ongeza sauti kuna watu hawaamini,Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%
Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,
Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
Tanzania iko salama na Mama Samia,Msingi wake ukiwa ni aina ya Siasa anazozifanya kijana huyu Mzalendo wa kweli wa Taifa hili zimekizolea umaarufu na heshima kubwa ndani na nje ya nje Chama cha Mapinduzi kwa kipindi hiki kifupi tangu kuteuliwa kwake,
Siasa zake za msimamo wa wastani na kuegemea zaidi kwenye kusikiliza na kutatua matatizo na shida za watu bila kujali itikadi wala hali yoyote zimemfanya Shaka Hamdu Shaka awavute watu wengi hasa vijana kujuinga na Chama Cha Mapinduzi,
Shaka pamoja na fitina na figisu nyingi alizofanyiwa huko nyuma kamwe hazijawahi kumfanya alege kwenye kukitetea na kukipigania Chama Cha Mapinduzi zaidi sana kijana huyu alisamehe na kusahau leo Shaka amegeuka kuwa darasa la Uongozi na viongozi kwa vijana wengi wa CCM na hata kwawale wasiokuwa na vyama au wavyama vingine,
Wakasema Shaka Hamdu Shaka anakula rushwa wakamsimamisha uongozi kijana huyu mwenye hulka ya Upole na Unyenyekevu hakujali wala kukata tamaa zaidi sana akaendelea kuchapa kazi kwa weledi na bidii zaidi kuliko mwanzo,
Vijana wa Tanzania tunachakujifunza toka kwa kijana huyu Mzalendo wakutiliwa mfano, Pamoja na Vita kubwa kubwa na nzito alizopigwa leo hii Shaka amegeuka lulu ndani ya Chama Cha Mapinduzi,Leo ndio mtu anayerudisha imani kwa Watanzania kuendelea kuiamini CCM-Tanzania
#Vijana Uvumilivu Unalipa sana,
View attachment 2019626
View attachment 2019627
View attachment 2019629
View attachment 2019631
View attachment 2019632
View attachment 2019636
View attachment 2019686
View attachment 2019687
View attachment 2019688
View attachment 2019689View attachment 2019706
Endele kumwaga "wasifu" wake naona hujaweka yote 🤣Wakasema Shaka Hamdu Shaka anakula rushwa wakamsimamisha uongozi kijana huyu mwenye hulka ya Upole na Unyenyekevu hakujali wala kukata tamaa zaidi sana akaendelea kuchapa kazi kwa weledi na bidii zaidi kuliko mwanzo,
Na hawatakaa wajue kuwa hawajui!CCM haina vijana wenye uwezo wa kujenga hoja, na hili ndilo tatizo walilonalo ingawa wao hawajui.
Wanajisifia taarabuNikajua jabali la maendeleo?
Watu hatuna maji wala hatuna umeme.
Upinzania gani sasa unaongelea wewe.
Mpinzania namba moja wa CCM ni maendeleo.
CHADEMA mnateseka mno, mmefukuza watu wa maana, mmebaki ndio hivyo tena,
huo umaana wao mmeanza kuuona lini?CHADEMA mnateseka mno, mmefukuza watu wa maana, mmebaki ndio hivyo tena,
Halima ni jembe la CCM now,huo umaana wao mmeanza kuuona lini?
Halima si mlikuwa mnamuita mropokaji ?