Shaka Hamdu Shaka msumari wa moto kwa Upinzani Tanzania

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Jul 10, 2020
2,542
2,168
Msingi wake ukiwa ni aina ya Siasa anazozifanya kijana huyu Mzalendo wa kweli wa Taifa hili zimekizolea umaarufu na heshima kubwa ndani na nje ya nje Chama cha Mapinduzi kwa kipindi hiki kifupi tangu kuteuliwa kwake,

Siasa zake za msimamo wa wastani na kuegemea zaidi kwenye kusikiliza na kutatua matatizo na shida za watu bila kujali itikadi wala hali yoyote zimemfanya Shaka Hamdu Shaka awavute watu wengi hasa vijana kujuinga na Chama Cha Mapinduzi,

Shaka pamoja na fitina na figisu nyingi alizofanyiwa huko nyuma kamwe hazijawahi kumfanya alege kwenye kukitetea na kukipigania Chama Cha Mapinduzi zaidi sana kijana huyu alisamehe na kusahau leo Shaka amegeuka kuwa darasa la Uongozi na viongozi kwa vijana wengi wa CCM na hata kwawale wasiokuwa na vyama au wavyama vingine,

Wakasema Shaka Hamdu Shaka anakula rushwa wakamsimamisha uongozi kijana huyu mwenye hulka ya Upole na Unyenyekevu hakujali wala kukata tamaa zaidi sana akaendelea kuchapa kazi kwa weledi na bidii zaidi kuliko mwanzo,

Vijana wa Tanzania tunachakujifunza toka kwa kijana huyu Mzalendo wakutiliwa mfano, Pamoja na Vita kubwa kubwa na nzito alizopigwa leo hii Shaka amegeuka lulu ndani ya Chama Cha Mapinduzi,Leo ndio mtu anayerudisha imani kwa Watanzania kuendelea kuiamini CCM-Tanzania

#Vijana Uvumilivu Unalipa sana,

photo_2021-11-22_01-12-02.jpg


photo_2021-11-22_01-14-05.jpg


photo_2021-11-22_01-11-24.jpg




photo_2021-11-22_01-09-46.jpg


photo_2021-11-22_01-13-32.jpg


photo_2021-11-22_01-10-44.jpg


photo_2021-11-22_01-53-45.jpg


photo_2021-11-22_01-56-32.jpg


photo_2021-11-22_01-55-33.jpg


photo_2021-11-22_01-53-45.jpg
photo_2021-11-22_02-16-13.jpg
 
Yule katibu wa uvccm ndio moto unaounguza zaidi! Yule kijana n hatali! Ni mchapa kazi haswa!
 
Back
Top Bottom