Shaka Hamdu Shaka: CCM haitavumilia wananchi kubambikwa kesi

Shemeji shaka kaka mpelembwe nakusalimia.
Karibu sana nyumbani kwako Tanga
 
Huyo uliyemtaja mwenyewe ni mbambika kesi no 1

6FD61F63-809E-4C7C-AD82-0790CD7E0238.jpeg
 
Mtazusha yote ila CCM ndio CHAMA
Itisha uchaguzi huru . Polisi wake mbali na usalama tuone.
Wewe unategemea police na usalama Afu unajiita chama .
Labda chama cha kina shaka wanaowekwa kinyumba na kina mpelembwe huko Tanga
Bisha kama hilo ni UONGO nishushe evidence hapa
 
Itisha uchaguzi huru . Polisi wake mbali na usalama tuone.
Wewe unategemea police na usalama Afu unajiita chama .
Labda chama cha kina shaka wanaowekwa kinyumba na kina mpelembwe huko Tanga
Bisha kama hilo ni UONGO nishushe evidence hapa
Uchaguzi huru mnaoutaka labda ufanyikie Ufipa, Chadema imekwisha kabisa kabisa
 
Uchaguzi huru mnaoutaka labda ufanyikie Ufipa, Chadema imekwisha kabisa kabisa
Imekwisha kabisa wakati hata wakicheza draft wanakamatwa? Muulize sirro kama alikwisha Kamata kiongozi wa NCCR, TLP au UDP. Hivi ndo vyama vilivyoisha sasa?
Unashindana na chama kilichokwisha Afu unaingia na kura kwenye mabegi( rejea ya mdee na kule kigoma jumba la makumbusho kasulu)
Mlipiga kura siku mbili kabla hapo kinondoni ( madogo walishiriki na kwenye Vituo mliingiza makada kama wasimamizi)
Kawadanganye wapuuzi wenzio huko lumumba.
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom