Rais wa Matajiri
JF-Expert Member
- Sep 14, 2018
- 1,469
- 597
Mikutano inafanyika mkuu acha kuwaamini chadema hawana pesa ya mikutano,Hio sentensi ya pili nakubaliana nayo, ila naona shida kidogo. Mmezuia mikutano ya wapinzani, mnatarajia sera zao watanadi wapi? CCM wako huru kuzunguka nchi nzima na kufanya mikutano ila wapinzani wamezuiwa. Huu sio uwanja sawa wa kufanya siasa. Acha sera zishindanishwe, wananchi waamue.