Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,891
- 939
SHAKA HAMDU SHAKA AKUTANA NA KUNDI LA JAMII MPYA
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka amekutana na kufanya mazungumzo na kundi la Jamii Mpya linalojishughulisha na uhamasishaji wa vijana na wanawake katika masuala ya uzalendo, uwajibikaji, ubunifu na kuwajengea uwezo wa kuchangamkia fursa mbalimbali za kiuchumi zilizopo hapa nchini.
Mazungumzo yaliyofanyika katika ofisi ndogo ya CCM lumumba, Jumatano 01 Septemba, 2021.
#ChamaImara
#KaziIendelee