Katibu halamshauri kuu ya ccm taifa itikadi na uenezi Shaka Hamdu Shaka awahakikishia wananchi wa Geita kukamilika kwa miradi yote ilivyoahidiwa katika ilani CCM.
Katibu wa nec itikadi na uenezi wa ccm, shaka hamdu shaka, leo tarehe 16 novemba 2021, amewahakikishia wanananchi wa halmashauri ya wilaya ya geita mji kuwa, serikali inayoongozwa na rais samia suluhu hassan, itatekeleza ahadi zote zilizoahidiwa katika ilani ya ccm ya mwaka 2020-2025.
#ChamaImara
#KaziIendelee
Katibu wa nec itikadi na uenezi wa ccm, shaka hamdu shaka, leo tarehe 16 novemba 2021, amewahakikishia wanananchi wa halmashauri ya wilaya ya geita mji kuwa, serikali inayoongozwa na rais samia suluhu hassan, itatekeleza ahadi zote zilizoahidiwa katika ilani ya ccm ya mwaka 2020-2025.
#ChamaImara
#KaziIendelee