Sasa ana option ya kukabidhi kwa namna nyingine tofauti na kwa amani? CCM mko hovyo sana.Makabidhiano yamefanyika Lumumba.
Hongera shaka kwa kukabidhi ofisi kwa amani, zinazofuata ni picha za makabidhiano ya ofisi.
View attachment 2491349
View attachment 2491350
Hapo ndugu Shaka akitabasamu kwa bashasha bila tashwishwi.
Mwili Wake Wote Ametapakaa RushwaKashiba pesa sasa anasubiri kwenda chooni kupunguza alichokula na kuvimbewa
Hongera shaka kwa kukabidhi ofisi kwa amani,
Hadi mkuu wa mkoa ndio katokea huko baada ya kutoka ilala kama mkuu wa wilaya.Hivi huyu mama alisha acha Ukuu wa Wilaya?
Ukuu wa Wilaya alitemwa baada ya kuingia kwenye mbio za ubunge Ilala. Kakaa sana kitaa, kakumbukwa na mama baada ya kuyashika madaraka.Hadi mkuu wa mkoa ndio katokea huko baada ya kutoka ilala kama mkuu wa wilaya.
Baada ya kukosa ubunge aliteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga, uenezi katokea Shinyanga kama mkuu wa mkoa.Ukuu wa Wilaya alitemwa baada ya kuingia kwenye mbio za ubunge Ilala. Kakaa sana kitaa, kakumbukwa na mama baada ya kuyashika madaraka.
Alishaonywa sana humu mitandaoni.Hamidu Shaka kazira hadi kuvaa nguo za CCM kwenye makabidhiano kweli kachukia kuondolewa
Mavazi aliyovaa kwenye makabidhiano yanaongea mengi
Kila jambo ofisi ndogo kuna shida gani ofisi kubwaMakabidhiano hayo yamefanyika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Lumumba, Dar es Salaam.
Tuli mwambia hakusikia!Hamidu Shaka kazira hadi kuvaa nguo za CCM kwenye makabidhiano kweli kachukia kuondolewa
Mavazi aliyovaa kwenye makabidhiano yanaongea mengi