Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 715
- 463
Aliyekuwa Katibu wa NEC itikadi na Uenezi CCM Taifa, Shaka Hamdu Shaka leo Januari 27, 2023 ameapishwa katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa huku Rebecca Sanga akiapishwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro.
Hafla hiyo ya kuwaapisha viongozi hao imehudhuriwa na viongozi mbalimbali ikiwemo kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa ikiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Fatuma Mwasa.
Hafla hiyo ya kuwaapisha viongozi hao imehudhuriwa na viongozi mbalimbali ikiwemo kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa ikiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Fatuma Mwasa.