Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,450
- 799
- Thread starter
- #81
unatakaza kuzigusa?Kazi zipi ?
unatakaza kuzigusa?Kazi zipi ?
Mwanamke wa kwanza kuhutubia baraza kuu la Umoja wa Mataifa la 76 tangu tupate uhuru ni Mama Samia Suluhu Hassan,
We Proud on you Mama
_________________________
View attachment 1944641
Mzee Mgaya ndio anasema hivyo?Aende Kenya akauone Uhuru wa mahakama!
Jibu Mswali haya kwa Ukamilifu,"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.
Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan.
Katika nchi za kidekta tunayo yaona leo Tanzania huko hayapo " alisisitiza Shaka
View attachment 1941361
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi
Ziara Katibu Mkuu CCM
16 Septemba, 2021 Lindi.
100%Jibu Mswali haya kwa Ukamilifu,
1.Rais Mnyenyekevu Africa -SAMIA
2.Rais mpole Africa -SAMIA. √
3. Rais mchamungu Africa -SAMIA √
4. Rais rafiki wa wananchi wake Africa -SAMIA √
5. Rais Chaguo la Watanzani 2025-2030 -SAMIA √
Nke wa ntu huyu"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.
Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan.
Katika nchi za kidekta tunayo yaona leo Tanzania huko hayapo " alisisitiza Shaka
View attachment 1941361
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi
Ziara Katibu Mkuu CCM
16 Septemba, 2021 Lindi.
Muombe Mungu akusamehe usipuuze hili,Naona kitu kibaya juu yakoNke wa ntu huyu
Mnataka kunipiga risasi kama mlivyofanya kwa Tundu Lissu?Muombe Mungu akusamehe usipuuze hili,Naona kitu kibaya juu yako
I'd ya johnthebaptist ukiona imetoa boko ujue anaitumia mwenyewe... Ila ukiona inamwaga point ujue ni mke wake anaitumia muda huo 😁Nina mashaka hii ID inatumiwa na watu wawili
Kuna muda unakua mtu
Na kuna muda duh!....niishie hapo.
Hahahaaaa..........!I'd ya johnthebaptist ukiona imetoa boko ujue anaitumia mwenyewe... Ila ukiona inamwaga point ujue ni mke wake anaitumia muda huo 😁
Huyu Mwamba deserves better"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.
Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan.
Katika nchi za kidekta tunayo yaona leo Tanzania huko hayapo " alisisitiza Shaka
View attachment 1941361
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi
Ziara Katibu Mkuu CCM
16 Septemba, 2021 Lindi.
Much betterHuyu Mwamba deserves better
Ndani ya Uongozi wa Rais Samia,
Mahakama huru,
Bunge huru,
NGOs huru
Media huru
#TanzaniakwaniSisitunatakaje?
Habari nzuri sana hii, Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Rais wetuTanzania yaongoza kwa bei ndogo ya mafuta ya taa, disel na Petrol Afrika Mashariki, Kenya bei juu
#HONGERA RAIS SAMIA
Shaka aisifu Mahakama kesi ya Freeman Mbowe, asisitiza Serikali ya Rais Samia kuzingatia Demokrasia na Uhuru wa Mahakama
==================================
"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.
Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan.
Katika nchi za kidekta tunayo yaona leo Tanzania huko hayapo " alisisitiza Shaka
View attachment 1941361
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi
Ziara Katibu Mkuu CCM
16 Septemba, 2021 Lindi.
Tanzania yaongoza kwa bei ndogo ya mafuta ya taa, disel na Petrol Afrika Mashariki, Kenya bei juu
#HONGERA RAIS SAMIA
Wapi kasemawl amri ya Rais?Yaani mtu kuongia na simu mahakamani ni amri ya Rais🤔