Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,542
- 2,164
#SHAKAKAMASHAKA
Ndugu yangu mwana kulitafuta,acha alipate."Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.
Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan,
Katika nchi za kidekta tunayo yaona leo Tanzania huko hayapo " alisisitiza Shaka
View attachment 1941361
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi
Ziara Katibu Mkuu CCM
16 Septemba, 2021 Lindi.
"Wakuu wa wilayaKwani hajui kuwa walioingilia uhuru wa mahakama kabla ya kudhibitiwa kisheria na upande wa utetezi ni haohao polisi wanaotekereza maagizo kutoka juu?hata hili la Mbowe kubambikiziwa kesi ya ugaidi na serekali anayoisifia nalo anataka kusema kuwa halijui?.
Hakuna kitu kama hicho. Eti shaka ndio engine ya chama katibu mkuu radiator? 😂Tafsiri ya wapi hiyo? 🤔Mzee unafahamu maana ya Uenezi,??
Au nawewe umelogwa kama wenzako,
Shaka ndio engine ya chama, Katibu Mkuu ni rejeta ya Shaka,
Shaka anatakiwa kufunguka ndio msemaji wa Chama,
Falsafa ,itikadi,misimamo ,mwelekeo lazima ziwe kwenye fingertips
CCM wanaruhusiwa kufanya siasa ila vyama vingine viko mahakamani kupigania uhuru wake."Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.
Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan,
Katika nchi za kidekta tunayo yaona leo Tanzania huko hayapo " alisisitiza Shaka
View attachment 1941361
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi
Ziara Katibu Mkuu CCM
16 Septemba, 2021 Lindi.
Kazi zipi ?[|Kazi anazofanya Rais Samia zinaacha alama kwa kikazi hiki na kizazi kijacho,
Hongera sana Mama Samia wetu, ]|