Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 11,455
- 8,247
Kwani hajui kuwa walioingilia uhuru wa mahakama kabla ya kudhibitiwa kisheria na upande wa utetezi ni haohao polisi wanaotekereza maagizo kutoka juu?hata hili la Mbowe kubambikiziwa kesi ya ugaidi na serekali anayoisifia nalo anataka kusema kuwa halijui?.