Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
Ndugu zangu liko shairi moja niliwahi kusimuliwa zamani. Kwa bahati mbaya aliyekuwa anasimulia alikuwa mlevi mmoja na pia mimi nilikuwa mdogo sasa sikumuuliza jina la shairi wala mtunzi wake lakini atakuwa moja wa malenga wa siku nyingi.. Ninachkumbuka ni ujumbe wa shairi lile kuwa walikuwepo wavuvi wakivua wakaona watu wamebeba maiti na kama ilivyojadi ya waafrika nao wakajiunga ili kusaidiana kubeba baada ya kwenda muda wakibadilishana mara wakajikuta wako peke yao wavuvi na hawajui maiti ni ya nani, kafa na nini na wala anenda kuzikwa wapi? ..
Nimejitahidi kulitafuta sehemu nyingi lakini sijafanikiwa kulipata
naomba msaada wa yoyote anayelikukbuka - jina rasmi na/au mtunzi
Nimejitahidi kulitafuta sehemu nyingi lakini sijafanikiwa kulipata
naomba msaada wa yoyote anayelikukbuka - jina rasmi na/au mtunzi