Shahidi wa nane kesi ya Sabaya: Mume wangu hakupigwa wala kunyang'anywa simu

Una haki zote za kuandika hapa jukwaani, ila hukuwa na ulazima wa kujiunga hapa jukwaani mwezi uliopita ili uje uandike huu utoto humu. Huu utoto ungeweza kuufanyia huko huko kwenye shule yenu ya msingi.
Unaweza kuwa mtoto lakini akili za wakubwa. Wewe ni mzee usiye na akili. Kifupi wewe huna akili.

Ungekuwa na busara, ungelihoji uhalali wa uzi wenyewe. Ila kwa kuwa unapenda kusikia kile kinachokupendeza, basi huna tofauti na nguruwe. Akiwazacho yeye chakula tu.
 
Kheri yangu niliyetotolewa baada ya kupitia hatua zote muhimu kuliko wewe ambaye umezaliwa kabla ya wakati na akili imeenda kushoto.
nasema hiviii.... wewe ni hovyoooo pamoja na anaewashikia akili zenu
 
Katika muendelezo wa kesi ya unyang'anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili, Shahidi wa nane wa Jamhuri dhidi ya Sabaya ameieleza mahakama kuwa hakumshuhudia mumewe akipigwa kama alivyoeleza. Pia, ameeleza bayana kuwa simu zake hazikuchukuliwa kwa sababu mumewe alipofika alitoa simu alipokuwa amezificha Sehemu zake za siri.

Hii ni baada ya siku chache zilizopita Bakari Msangi kuieleza mahakama kuwa alipigwa karibia kufa kisha kufungwa pingu miguuni.

Kesi hiyo inaendelea kunguruma katika mahakama ya hakimu Mkazi wa Mkoa wa Arusha chini ya Hakimu Mfawidhi Odira Omworo.

Hali hii imeleta mkanganyiko baada ya Shahidi huyo kwenda kinyume na ushahidi alioutoa mumewe.

Kesi imefikia pazuri.

-----
Shahidi wa nane wa Jamhuri katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na wenzake amesema hajawahi kumuona Sabaya akiwa anampiga Mume wake Bakari Msangi.

Mbele ya Hakimu Mfawidhi Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, Odira Amworo akiulizwa maswali na wakili wa utetezi Dankan Oola, Shahidi huyo amesema kwa wakati wowote hakushuhudia Sabaya akimpiga Mumewe Bakari Msangi.

Amesema wakati Bakari anampigia simu waliongea na kumuambia ametekwa na baadaye aliposhuka kwenye gari ya Sabaya alikuwa wala hajafungwa pingu mguuni.

Shahidi huyu ameendelea kusema Mume wake hakuibiwa simu na aliporudi nyumbani alikuwa na simu zake zote na alimpa baada ya kuzitoa kwenye sehemu za siri.
Soma ushahidi wake wa msingi (Examination in Chief) na usome huo uliouweka (cross examination) ndio uone uhalisia.

 
1.Kwa sababu hakumshuhudia akipigwa haina maana hakupigwa wakati hayupo.
2. Aliposhuka kwenye gari hakuwa amefungwa pingu miguuni. Hakusema kama alifungwa mikononi. Hawezi kujua kama pingu zilitolewa kabla ya kushuka.
3. Alimpigia simu kuwa ametekwa kwa hiyo alikuwa na access na simu.
4. Alizitoa simu alizokuwa amezificha. Hizi ndizo alizitumia kupiga na hakunyang'anywa kwa sababu alizificha.

Amandla...
 
Kuna kipindi mtu unaweza kukufuru bila sababu yaani. Ewe Mwenyezi Mungu kwanini unaruhusu nakutana na watu kama hawa kwa baadhi ya siku? Kweli Mungu hukuweza kuniepusha na kujibishana na mtu kama huyu? Anyway, kazi yako haina makosa baba, utakalo litimie! Nitalipokea 🙏
Ahahahahahahahahhahahahahahhahahahahahahah nimecheka sana yaani! Dah! Jf kiboko...

Umekutana na Zwangendaba mzee
 
Katika muendelezo wa kesi ya unyang'anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili, Shahidi wa nane wa Jamhuri dhidi ya Sabaya ameieleza mahakama kuwa hakumshuhudia mumewe akipigwa kama alivyoeleza. Pia, ameeleza bayana kuwa simu zake hazikuchukuliwa kwa sababu mumewe alipofika alitoa simu alipokuwa amezificha Sehemu zake za siri.

Hii ni baada ya siku chache zilizopita Bakari Msangi kuieleza mahakama kuwa alipigwa karibia kufa kisha kufungwa pingu miguuni.

Kesi hiyo inaendelea kunguruma katika mahakama ya hakimu Mkazi wa Mkoa wa Arusha chini ya Hakimu Mfawidhi Odira Omworo.

Hali hii imeleta mkanganyiko baada ya Shahidi huyo kwenda kinyume na ushahidi alioutoa mumewe.

Kesi imefikia pazuri.

-----
Shahidi wa nane wa Jamhuri katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na wenzake amesema hajawahi kumuona Sabaya akiwa anampiga Mume wake Bakari Msangi.

Mbele ya Hakimu Mfawidhi Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, Odira Amworo akiulizwa maswali na wakili wa utetezi Dankan Oola, Shahidi huyo amesema kwa wakati wowote hakushuhudia Sabaya akimpiga Mumewe Bakari Msangi.

Amesema wakati Bakari anampigia simu waliongea na kumuambia ametekwa na baadaye aliposhuka kwenye gari ya Sabaya alikuwa wala hajafungwa pingu mguuni.

Shahidi huyu ameendelea kusema Mume wake hakuibiwa simu na aliporudi nyumbani alikuwa na simu zake zote na alimpa baada ya kuzitoa kwenye sehemu za siri.
Hii kes nyuma lazim kuwe na wafanyabiahara wakubwa wanasukuma hii kes lakin siku ya siku ukweli utajulikana
 
Aliesema kapigwa ndiye anaejua wewe shaidi uwezikataa.labda usema akuwepo Siku ya tukio na tiketi hii hapa
 
Una haki zote za kuandika hapa jukwaani, ila hukuwa na ulazima wa kujiunga hapa jukwaani mwezi uliopita ili uje uandike huu utoto humu. Huu utoto ungeweza kuufanyia huko huko kwenye shule yenu ya msingi.
Gai, aise wewe ni jinga jinga, hakuwa na ulazima? wtf. Mnaona udikteta wenu lakini, unaona au huoni, toeni maboriti yenu kwa macho ndio kidogo mtaweza shawishi watu.

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Sabaya ana mimba ya mapacha,kapigwa na Nyampara pale Kisongo,Msangi alipigwa kule dukani ambako Mkewe haluwepo,sasa mlitaka Mke aseme alimuona mmewe anapigwa wakati kule dukani hakuwepo??mbona ni simple logic tu kufikiri hili
 
Mke anasema hakushuhudia mumewe akipigwa.

Hii haimaanishi kua mumewe hajapigwa.

Kwakua kama angekua ameshuhudia ilibidi mke awepo eneo la tukio.

Kwa mujibu wa maelezo eneo la tukio lilikua ni ndani ya duka la mlalamikaji mwingine.

Hivyo ni sahihi mke kusema hakushuhudia kwakua mke hakuwepo dukani.

Mke alisema mumewe alipoingia kwenye gari akazitoa simu sehemu za siri na kumkabidhi.

Kama simu alikua nazo na akakabidhi ni sahihi kwa mke kusema kwamba Sabaya hakumnyang'anya simu mume wa mtoa ushahidi.

Hivyo kauli alizotoa zinacomplement alichoongea mwanzo. Hazichanganyi.
 
Mke anasema hakushuhudia mumewe akipigwa.

Hii haimaanishi kua mumewe hajapigwa.

Kwakua kama angekua ameshuhudia ilibidi mke awepo eneo la tukio.

Kwa mujibu wa maelezo eneo la tukio lilikua ni ndani ya duka la mlalamikaji mwingine.

Hivyo ni sahihi mke kusema hakushuhudia kwakua mke hakuwepo dukani.

Mke alisema mumewe alipoingia kwenye gari akazitoa simu sehemu za siri na kumkabidhi.

Kama simu alikua nazo na akakabidhi ni sahihi kwa mke kusema kwamba Sabaya hakumnyang'anya simu mume wa mtoa ushahidi.

Hivyo kauli alizotoa zinacomplement alichoongea mwanzo. Hazichanganyi.
Na iko very clear, shahidi kakwepa mtego mkubwa sana sana
 
Huna 'mandate' yeyote ya kunipangia cha kuandika as long as sivunji sheria za JF.

Nitaendelea kuandika chochote nitakachojisikia.
Nenda kajiandae na mitihani ya darasa LA Saba, hapo Lumumba primary...HUKU HAPAKUFAI
 
Watu hawajui mitego ya kutoa ushahidi.
Kwenye ushahidi hutakiwi kujiongeza kusema kitu ambacho hujakiona,unaeleza tu kile ulichokiona kisha majaji ndio wataunganisha maelezo na kuupata ukweli
Sasa naona Mataga wanashangilia weeeee ndio ujue hawa Jamaa akili zao huwa wanaziacha chooni
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom