Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,443
- 113,452
Asante kwa ufafanuzi, kuna vitu vingi nilikuwa sijivijui kuhusu uwakili na bar examination.Huyu anayesema mtu yoyote anaweza kupewa uwakili na jaji mkuu hakika ana misconception fulani kuhusu swala hili ingawa pia ana uelewa fulani kuhusu swala hili. Ngoja swala hili niliweke katika mukitadha sahihi. Hiko hivi, Council for Legal Education inayo mamlaka ya kumpatia mtu uwakili mwenye shahada ya kwanza ya sheria bila kufanya Bar Exams, Council for Legal Education possesses legal mandate to exempt any holder of LL.B (Bachelor of Laws) from requirement of sitting for, and passing bar exams, hii ni kwa mujibu wa section 8 (1 A) of the Advocate Act, Cap. 341. Jaji Mkuu hana kabisa mamlaka ya kumpatia mtu uwakili atakeyoona anafaa na hana mamlaka ya kumpatia mtu exemption ya bar exams. Mamlaka ya kumpatia mtu exemption ya bar exams yako mikononi mwa Council for Legal Education na hiyo exemption inatolewa kwa mtu mwenye shahada ya kwanza ya sheria na sio kwa kila mtu, hiyo exemption haiwezi kutolewa kwa mtu mwenye shahada ya sociology au economics. Jaji mkuu yeye ni mjumbe tu wa Council for Legal Education ambayo ina wajumbe 5 tu, hii ni kwa mujibu wa section 5 A (1) of the Advocate Act, Cap. 341., hivyo Jaji Mkuu pekee bila ridhaa ya wajumbe wengine 4 hawezi kutoa exemption na kumruhusu mtu kuwa wakili bila kufanya Bar Exams, ingawa kwa nafasi yake ana ushawishi mkubwa kwenye Council.
Pascal Mayalla
P