Korozoni
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 264
- 105
Habari za muda huu wana-JF
Naomba kufahamishwa juu ya hili,
Je,mwalimu aliyesomea Stashahada ya Kawaida ya Ualimu Elimu ya msingi na baadaye akaja kusomea Shahada ya Elimu atakuwa mwalimu wa Elimu ya Msingi tu au anaweza kufundisha hata Sekondari?
Shukrani.
Naomba kufahamishwa juu ya hili,
Je,mwalimu aliyesomea Stashahada ya Kawaida ya Ualimu Elimu ya msingi na baadaye akaja kusomea Shahada ya Elimu atakuwa mwalimu wa Elimu ya Msingi tu au anaweza kufundisha hata Sekondari?
Shukrani.