Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Tumeendelea kukamata shahada feki zilizotengenezwa na ccm na kugaiwa kwa watu wasiokuwa wakazi wa daraja mbili ili kupiga kura.Mawakala wetu wamekuwa makini mno.Hadi sasa shahada feki 70 zimeshakamatwa na wahusika wapo mikononi mwa polisi
Baada ya kuona hivyo ccm wanatumia green guards kupiga wapiga kura ili kutisha wapiga kura.Mmoja wa viongozi wa uvccm amepiga risasi kwenye kituo cha Felix Mrema,hadi sasa ccm wamepanic sana,mmoja wa wamepiga kura amepigwa eneo la Shule ya msingi Daraja mbili.
Baada ya kuona hivyo ccm wanatumia green guards kupiga wapiga kura ili kutisha wapiga kura.Mmoja wa viongozi wa uvccm amepiga risasi kwenye kituo cha Felix Mrema,hadi sasa ccm wamepanic sana,mmoja wa wamepiga kura amepigwa eneo la Shule ya msingi Daraja mbili.