Shahada baada ya stashahada: Angalizo kwa waliomaliza kidato cha nne

Ok nashukuru mwaka jana nilisoma ile sifa za kupata mkopo chuo kikuu nikaona kuwa wamesema.. Diploma holders should have been completed their diploma on not more than two years ago. Nadhani wa naangalia hii. Na je kuna utauti kati ya mkopo na boom (naomba kidogo nifahamishe)

Important thread for me

Sent using Jamii Forums mobile app

Unapo omba mkopo means unaomba pesa zaidi katika uitaji wako so unapo apply mkopo kwenye bodi ya mikopo wao ndio wataamua upokee asilimia ngapi (hii asilimia means watachangia iko kiasi cha pesa kwenye ada yako )
Then utakuwa unapokea pesa ya kujikimu kwa matumizi ya chuoni (nadhani kila baada ya 2 month au 3month)binafsi hii sasa ndio watu wanaita boom
 
Unapo omba mkopo means unaomba pesa zaidi katika uitaji wako so unapo apply mkopo kwenye bodi ya mikopo wao ndio wataamua upokee asilimia ngapi (hii asilimia means watachangia iko kiasi cha pesa kwenye ada yako )
Then utakuwa unapokea pesa ya kujikimu kwa matumizi ya chuoni (nadhani kila baada ya 2 month au 3month)binafsi hii sasa ndio watu wanaita boom
Thank you for your response and GOD BLESS YOU good night

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar Es Salaam, chamanzi near azam football ground.

Yah ni vizuri zaidi kama ukaanza pre form five now, itakusaidia.....kumbuka hiyo comb sio maji kijana.

Welcome ujiunge na wenzako ule book.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkopo unastahili kupata ingawa serikali kuna muda wana sua sua kwa watu wa diploma.nasikia wao hufikiri mwenye diploma hutokea kazini hivyo hana uhitaji ingawa kwa watu wengine hii sikweli.
Diploma level serikali ilikuwa inamchukulia kama ana ujuzi flani tofauti na anaetoka form 6 moja kwa moja ndo maana walikuwa hawatoi mkopo hata kabla ya bodi kuundwa. Nadhani wakati umefika watambue kwamba hata mwenye Diploma anastahili kutokana na njia aliyopitia kimsingi sio kama amependa hasa kwa wale waliofika form 6 ni marks tu hazikutosha
 
Sitosahau applications za 2018/2019, nilikosa chuo niliapply MD, O level pamoja na kuwa na div 1 ya 13, PCB BBB, maths A, English B plus GPA 3.8 mpk sasa hivi sielewi vyuo vinataka nn kwenye udahili, nkaamua kukata tamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ili suala la baadhi ya vyuo kutosajiliwa na bado vinadahili wanafunzi limekaaje?

Na je wanafunzi au mwanafunzi aliyesoma chuo kama hiki anasaidiwaje na serikali hali wakati anajiinga hakuna anajua taarifa za chuo husika kama kimesajiliwa au lah?

Na kuna hivi vyuo ambavyo vilikuwa vimesajiliwa kwa muda au vilipata usajili wa kudumu lakini wakafutiwa usajili ,je wanafunzi waliohitimu katika vyuo hivi vya kati wanajiendeleza vipi ili hali vyuo hivyo vimefutwa kwenye mfumo wa nacte na matokeo yao hayapo kwenye tovuti hiyo?

Naomba Mwenye kujua anijibu kiufasaha.
 
Dar Es Salaam, chamanzi near azam football ground.

Yah ni vizuri zaidi kama ukaanza pre form five now, itakusaidia.....kumbuka hiyo comb sio maji kijana.

Welcome ujiunge na wenzako ule book.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nina ndugu yangu maeneo ya mbande kaniambia nimtafutue tution nzuri anataka kupiga PCB pre form five utaratibu wa tution yko upoje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom