Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,837
- 93,608
Ni jamii ya Bashitesi angekausha tu kujianika kwenye media mwanaume mzima.
Ni jamii ya Bashitesi angekausha tu kujianika kwenye media mwanaume mzima.
Achukue kadi na awe analipia kadi Kama mwanachama ili na mwingine asaidiwe huko ndiko kuwa simba damHuo ndio Uzalendo wa kweli.
SIMBA DAMDAM
Kuna siku yatakukuta utakumbuka hii kauli yako hii ni laana kwakoAjifunike shuka na mke/mume wake wazae alafu Yanga wajekumtibia/kumtunzia mtoto wake? shame, hata kama ni msaada mbona mwaka 2016 Haji Manara alichangiwa na mashabiki wa Yanga na hakuhama?
Kwani mrema yuko wapi?Upoyoyo huo mbona manara tulimchangia na hakuhama? Basi na mrema arudi chama cha zamani ccm maana ndio waliomtibia.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mrema arudi mara ngapi..? Kwani si amerudi.Upoyoyo huo mbona manara tulimchangia na hakuhama? Basi na mrema arudi chama cha zamani ccm maana ndio waliomtibia.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli Haij alicheza yanga kidsAcha kudanganya umma, Sunday Manara ndiyo alichezea yanga.
No kubwa
Sawa MunguKuna siku yatakukuta utakumbuka hii kauli yako hii ni laana kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli lakini asitukanwe kwa hali yake hizi timu sio dini wala miungu kwamba ukihama ni kama kufuru
Upoyoyo huo mbona manara tulimchangia na hakuhama? Basi na mrema arudi chama cha zamani ccm maana ndio waliomtibia.....
Sent using Jamii Forums mobile app