Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,532
- 5,750
Jamaa anajulikana wazi kuwa ni shabiki kindakindaki wa Yanga, ila linapokuja suala la kuongea ukweli basi wananchi wameanza kutilia mashaka u Yanga wake, kwanini? Au ni ushamba tu wa kukubali kitu hata kama unaona kina walakini?
Binafsi nimemuelewa huyu jamaa, japo kuna mida unaona anabaki kwenye ushabiki ila kuna muda ana kuwa na maana sana. Hongera sana mzee baba, japo huko Instagram jamaa kayaoga sana matusi asee. Jamani wananchi wana mijitusi jamani.
Mwanangu hatakaa kusahau, yaani kutoa maoni tu ndiyo atukanwe vile na wananchi?
Kuna huyo mwingine hapo jina lake halikupatikana, ila alikuwa anaitwa Ali na wananchi yeye alivurugwa kabisa.
NB: Wananchi muacheni Makame basi, jamaa kasema anamkubali sana Chama, kuna mwananchi mmoja humu huwa anamuita kiungo konokono.
Binafsi nimemuelewa huyu jamaa, japo kuna mida unaona anabaki kwenye ushabiki ila kuna muda ana kuwa na maana sana. Hongera sana mzee baba, japo huko Instagram jamaa kayaoga sana matusi asee. Jamani wananchi wana mijitusi jamani.
Mwanangu hatakaa kusahau, yaani kutoa maoni tu ndiyo atukanwe vile na wananchi?
Kuna huyo mwingine hapo jina lake halikupatikana, ila alikuwa anaitwa Ali na wananchi yeye alivurugwa kabisa.
NB: Wananchi muacheni Makame basi, jamaa kasema anamkubali sana Chama, kuna mwananchi mmoja humu huwa anamuita kiungo konokono.