Shabiki wa Simba afariki dunia baada ya Mgalu kukosa penati dhidi ya Tanzania Prisons

Mjinga sana huyu mzee,hao Sumba wanamjua?badala ya kuhangaikia majimaji ana kufa kwa ujinga.Narudia,marehemu ni mjinga
 
Msiwe mnatazama mpira kama mna tatizo la kutoka jasho jingi, tulia nyumbani hata radio usisikilize ujiepushe na majanga yanayozuilika.
 
Back
Top Bottom