Shabiki wa Diamond amvamia Alikiba na kumpatia penseli yake

Natumai mu wazaima wa Afya..

Hili ni tukio lilitokea leo katika mkutano wa alikiba aliokuwa akiongea na waandishi wa habari,

Kama umekuwa ukifuatilia katika mitandao ya kijamii, kijana huyu ame- trend siku za hivi karibuni baada ya kukumbatiwa na diamondplatnuz siku ya tamasha la jama festival lililofanyika katika uwanja wa taifa, mara baada ya tukio hilo bwana mdogo huyu aliweza kukaa majuma kadhaa pasipo kuoga wala kubadili nguo&viatu vyake hata wakati wa kulala..
Basi bwana mdogo katika hali isiyokuwa ya yakawaida leo tena kajitokeza katika shughuli ya ali, nae Ali pasipo hiyana akamruhusu azungumze dukuduku lake la moyoni japo kuna baadhi ya watu walimzuia kijana huyu...bwanadogo huyu alianza kwa kusema nanukuu "me nishabiki wa diamondplatnuz na napenda sana amani, juzi nilibahatika kupita katika ukurasa wako wa insta na kukuta ukiwa umelaumu kuhusu kuibiwa pencil yako, sasa basi kwa kuwa napenda muwe na amani nimeamua kukuletea pencil yako ili kuwepo na amani baina yenu.." Mwisho wa kunukuu..

Bwana mdogo huyu aliemalizia kauli yake kwa kumpatia alieibiwa pencil yake, japo alirudishiwa pencil yake mara baada ya alikiba kumfafanulia maana kamili ya pencil aliyokuwa akimaanisha!!

View attachment 1258036
Vp mkuu unaweza kutuwekea na nukuu ya kiba alijibu nini juu ya penseli..
Binafs cjaiona/kuickia hyo press
 
Wadau wanasema aendelee kumuimbia mama ake nyumban
Screenshot_2019-11-09-05-29-06-1.jpeg
 
Kiki tu ile kijana alipangwa na Kiba mwenyewe.Jiulize alijuaje Kiba kamaliza kuongea mana baada Ya Dogo kujitokeza na kupewa nafasi ndipo Kiba alimaliza press.Ilipangwa Ili waandishi wasipate nafasi Ya kumuuliza tena Ishu Ya penseli.Dogo Ni mtu wao coz mpaka anaingia conference room manake Alikua na access Ya kuingia ndani.Ni ngumu sana from no where kuingia hotel kubwa kama Ramada.Kiba utawadanganya hao hao.
 
Bro Ramada ni nini akilini mwako?
Kiki tu ile kijana alipangwa na Kiba mwenyewe.Jiulize alijuaje Kiba kamaliza kuongea mana baada Ya Dogo kujitokeza na kupewa nafasi ndipo Kiba alimaliza press.Ilipangwa Ili waandishi wasipate nafasi Ya kumuuliza tena Ishu Ya penseli.Dogo Ni mtu wao coz mpaka anaingia conference room manake Alikua na access Ya kuingia ndani.Ni ngumu sana from no where kuingia hotel kubwa kama Ramada.Kiba utawadanganya hao hao.
 
Back
Top Bottom