Baba Matatizo
JF-Expert Member
- May 5, 2011
- 334
- 64
nipo uswahili mkoan tabora kiazi kitamu 1 sh.100 na uji kikombe 1 ni 100.full raha.hapo ulipo je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nipo uswahili mkoan tabora kiazi kitamu 1 sh.100 na uji kikombe 1 ni 100.full raha.hapo ulipo je?
buk tano kubwa sanaHongera. Kaa hhukohuko uendelee kufaidi. kuhonga mabibi huko mnahonga bei gani ? elfu tano inapokelewa ?
Hongera. Kaa hhukohuko uendelee kufaidi. kuhonga mabibi huko mnahonga bei gani ? elfu tano inapokelewa ?
Mia tano ni chai rangi na chapati moja huku kwetu
Huku kwetu mia tano unapata kikombe cha chai ya rangi kavu. Ukitaka kitafunwa lazima uongeze 500 nyingine.
Asante, ila kabla hujatoa pole uulize watu wanachakalikaje kuzichanga. Unakuta mama mtu mzima anauza machungwa, ukimtazama tu anakwambia, 'karibu machungwa baba yangu' ilhali ana umri wa kukuzaa.aiseee.polen sana.
mpaka sasa tabora kuna sukar ya sh.100,mkaa wa 200 na mafuta ya kura ya 100.
Huko lazima CCM wataendelea kushinda kwa kishindo. watu hawafeel pinch ya serikali dhaifu.mpaka sasa tabora kuna sukar ya sh.100,mkaa wa 200 na mafuta ya kura ya 100.
Asante, ila kabla hujatoa pole uulize watu wanachakalikaje kuzichanga. Unakuta mama mtu mzima anauza machungwa, ukimtazama tu anakwambia, 'karibu machungwa baba yangu' ilhali ana umri wa kukuzaa.
aiseee.polen sana.