Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
kama yule wa picha ya expansion jointMnhh...
ππππππππ
Huyu jamaa aliyejiselfie anaweza tekwa apotee kabisa ktk uso wa dunia...
kama yule wa picha ya expansion jointMnhh...
ππππππππ
Huyu jamaa aliyejiselfie anaweza tekwa apotee kabisa ktk uso wa dunia...
Nafikiri jamaa hajui kiberegeUsipotoshe
Acha Kilivyo Chenyewe Kinajieleza
KWA HIYO HUKU KUBINUKA NDO TEST YA UZITO AU STYLE YAKE KWAMBA INALALA KIUBAVU UBAVU HEBU NIJUZEKama hujui uliza na si kukurupuka .Hicho ni kichwa cha treni kimenunuliwa na YAPI MERKEZ kwa ajili ya kufanyia majaribio wakati wa ujenzi huwa ni vizito sana na imara sana na vipo ndani ya gharama ya ujenzi
Usiwe nyumbu ewe kokoroKWA HIYO HUKU KUBINUKA NDO TEST YA UZITO AU STYLE YAKE KWAMBA INALALA KIUBAVU UBAVU HEBU NIJUZE
Ni mambo ya kawaida kabisa ,sisi tumefanya mining hatuwezi shangaa hilo,katika mambo ya uhandisi vitu kama hivyo hutokea ,pigeni siasa
Ndiyo Maana Namwambia Akiacha Hiyo Picture InajielezaNafikiri jamaa hajui kiberege
HaaππKWA HIYO HUKU KUBINUKA NDO TEST YA UZITO AU STYLE YAKE KWAMBA INALALA KIUBAVU UBAVU HEBU NIJUZE
Kumbe kweli kimeanguka, kuna mtu jana alisema kimeanguka maeneo ya gongo la mboto watu wakabisha. Basi itakuwa ni laana.
SGR, Tuliahidi - Tunatekeleza, hii ndiyo Tanzania mpya.
1. WALITULIAHIDI HIVI 2. LAKINI WANATEKELEZA HIKI 3. MATARAJIO YA WENGI YALIKUWA KUONA HIVI UPDATES: imetokea jana 7/5/2019 Maendeleo hayana chama.www.jamiiforums.com
Hiyo siyo yenyewe (siyo ya TRL), yamkini ni kwa ajili ya test na kusafirisha vifaa vya ujenzi. Kwanza imechapwa jina la mkandarasi.Tuliwacheka Wakenya tukisema inafanana ya ya miaka ile duh sisi tumetisha
SGR Ni white elephant projectWengi hapa wakisikia SGR ya kenya haiendi sawa wanasikitika lakini wakisikia mambo hayaendi kwao hapa wanafurahi. sijui wa Tz tukoje?
HaaππππSGR Ni white elephant project
Ni aina ya test pia kupima mitambo yaoKWA HIYO HUKU KUBINUKA NDO TEST YA UZITO AU STYLE YAKE KWAMBA INALALA KIUBAVU UBAVU HEBU NIJUZE
Wengi hapa wakisikia SGR ya kenya haiendi sawa wanasikitika lakini wakisikia mambo hayaendi kwao hapa wanafurahi. sijui wa Tz tukoje?
Waafrica MBONA awaendelei?Hakuna kitu kinaitwa laana
Mnhh...
Huyu jamaa aliyejiselfie anaweza tekwa apotee kabisa ktk uso wa dunia...