Bantugbro
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 4,476
- 4,250
Hilo tulishamaliza, ngoja sasa tusibiri treni zenyewe, mambo ya Sapsan na Allegro!Ahaaa haaa haaa
wanapita kimya kimya huku wameangalia kwingine pembeni.
Teh teh teh tihiii
Hilo tulishamaliza, ngoja sasa tusibiri treni zenyewe, mambo ya Sapsan na Allegro!Ahaaa haaa haaa
wanapita kimya kimya huku wameangalia kwingine pembeni.
Teh teh teh tihiii
Swali langu ni hii, je bado hata hamujamaliza DAR-MOROGORO, na hio ndio sehemu ya kwanza, sasa, je mutamaliza lini toka morogoro-makuputora------makuputora-----tabora--------tabora------isaka------to mwanza---to the mpakani wa rwanda????? ili hii reli ifike mwanza na mpakani mwa rwanda itachukua hadi 2028 au hata 2030, hii umweka hapa si habari hata kidogo, hata hela ya kuaza makuputora hadi mwanza au mpaka wa rwanda HAMUNA HIZO HELA,je si mutafute hela kwanza.
Relax.. ata yale mawaya ya kupitisha umeme unayo yaonaga kwenye movies, CNN na BBC yatawekwa. Andaa nauli uje kutoa matongotongo.Welding imefanywa?
Aaah sawa si kama hizo hapo juu,university kama primary!!mwaswast said:Kenya kuna university zaidi ya mia moja sijui huko bingo kama zimefika kumi?
HAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA you must be a very good day dreamer, keep on dreaming2020 itakuwa imekamilika hadi Rwanda kwa sababu tushakubaliana, wakati huo tunaweza tukawa tunazungumza na Burundi
Wivu wa kikenya huu.Swali langu ni hii, je bado hata hamujamaliza DAR-MOROGORO, na hio ndio sehemu ya kwanza, sasa, je mutamaliza lini toka morogoro-makuputora------makuputora-----tabora--------tabora------isaka------to mwanza---to the mpakani wa rwanda????? ili hii reli ifike mwanza na mpakani mwa rwanda itachukua hadi 2028 au hata 2030, hii umweka hapa si habari hata kidogo, hata hela ya kuaza makuputora hadi mwanza au mpaka wa rwanda HAMUNA HIZO HELA,je si mutafute hela kwanza.
Hahahahahaha, nchi inafilisika bado unaimba wimbo wa uchumi, China imewastukia haitaki tena kuwakopesha bado tu unamaeazo ya failed state person.Uchumi wetu utakuelezea yote.
Na akithubutu kukatiza tu anakula fimbo hamsini za maana kudadeki..Watanzania wanajenga reli wenyewe kwa asilima kubwa hasa mainpower ,inatupa uelewa mzuri pindi watakapoondoka hawa jamaa lakini mchinese haruhusu hata Mkenya kukatiza katika reli, Hatareee