SGR ikikamilika Bila Bandari ya Bagamoyo malori yatalazimika kupaki

===
SGR ikikamilika inaweza kubeba mizigo yote ya Bandari ya Dar es Salaam kwa siku 250 Tu,

Kama SGR itakamilika bila ya Bandari ya Bagamoyo kujengwa basi Malori yote ya mizigo mnayoyaona hapa nchini yatalazimika kupaki

Iko hivi,treni moja ya mizigo ya SGR inauwezo wa kubeba Jumla ya Tani elfu 10 karibu sawa na Malori 500 kwa Safari moja,

TRC ikiwa na Treni mbili tu za mizigo zinazopishana kwa kila siku basi tutasafirisha Jumla ya Tani elfu 20 kwa siku moja sawa na Malori 1,000.

Nimejaribu kutafuta wastani wa mizigo iliyopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kati ya mwaka 2016|2020 nimepata ni wastani wa Jumla ya Tani milioni tano ( 5M )

Kwamsiofahamu, 98% ya mizigo yote inayoingia na kutoka Tanzania na nchi jirani inapitia bandari ya Dar es Salaam,

Tujiulize, Kama tani elfu 20 kwa SGR zinaweza kubebwa kwa siku moja kwa kutumia treni mbili za SGR zinazopishana,

Je hizi tani 5M zinazopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kwa mwaka mzima zitabebwa kwa muda gan kwa kutumia hii SGR?

Fanya hivi,gawanya tani 5M kwa tani elfu 20 utapata Jumla ya siku 250 za kuisafirisha mizigo yote ya mwaka ya bandari ya Dar es salaam kwa kutumia SGR,

Mkumbuke kuwa, Safari ya Treni ya Mzigo toka Dar -Mwanza ni wastani wa masaa tisa ( 9 ) wakati Safari ya Lori ni zaidi ya masaa 48,

Lakini pia,bei ya kusafirisha mizigo kwa SGR ni ndogo kuliko ile ya Lori na Usalama wa mzigo kwenye SGR ni mkubwa kuliko ule wa kwenye Lori,

Sikia,Nimfanyabiashara mjinga tu ndio anaweza kuacha kupakia SGR yenye nafasi akapakia mzigo kwenye Lori

Sababu pekee inayoweza kuyanusuru haya Malori yetu ni kuwa na bandari nyingine kubwa itakayokuwa na uwezo mkubwa wa kushusha mizigo mingi zaidi ya ile ya Dar es salaam ili SGR ibebe na isaze na Malori ya bebe pia,

Kama hili halitafanyika kuna watu wengi mnakwenda kukosa ajira zenu hapo baadae kidogo,

Nadhani hii ni moja ya sababu ya kwanini Rais Samia anataka bandari hii ijengwe tena kwa haraka kabla ya kumalizika kwa SGR,


NB, Mnaolalamika kuhusu Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo rudieni tena kusoma andiko hili kwa makini

Bandari ya Tanga! ambayo inakuzwa na pesa zipo!
 
Hawana utamaduni wa kufanya maintenance!! Wanadhani wakinunua kitu kipya kitakua hivyo hivyo kila siku!! Hata hizo Ndege za ATCL sidhani kama zinafanyiwa check zake kama inavyotakiwa!!!!
Huna uhakika lakini
 
Sio mizigo yote inayoshuka bandarini itatumia SGR, inayoenda mikoa ya kusini na nchi kama Malawi,Zambia etc ambayo ni mingi haitumii SGR, na kwa serikali ya CCM sina uhakika kama wataiendesha hiyo reli vizuri, wataishia kuifunga tuu na kila siku engine zimeharibika au hakuna vipuri, hata sasa hivi reli iliyopo ingeweza kubeba mizigo mingi tuu lakini imekufa chini ya CCM, ni kama TANESCO tuu, dawa ni kuyaondoa haya mafisadi maiba kura ya CCM
Hata huko SGR itafika mkuu
 
Imefanya nini mkuu?
Point yangu hakuna haja ya bandari ya bagamoyo wakati tunatakiwa kukuza bandari ya Tanga ambayo itapitisha mafuta. Ushauri wangu ni kukuza bandari ya Tanga serikali ikiwekeza $2B itatosha kabisa badala ya kuwekeza $10B kwa bandari mpya!!
 
===
SGR ikikamilika inaweza kubeba mizigo yote ya Bandari ya Dar es Salaam kwa siku 250 Tu,

Kama SGR itakamilika bila ya Bandari ya Bagamoyo kujengwa basi Malori yote ya mizigo mnayoyaona hapa nchini yatalazimika kupaki

Iko hivi,treni moja ya mizigo ya SGR inauwezo wa kubeba Jumla ya Tani elfu 10 karibu sawa na Malori 500 kwa Safari moja,

TRC ikiwa na Treni mbili tu za mizigo zinazopishana kwa kila siku basi tutasafirisha Jumla ya Tani elfu 20 kwa siku moja sawa na Malori 1,000.

Nimejaribu kutafuta wastani wa mizigo iliyopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kati ya mwaka 2016|2020 nimepata ni wastani wa Jumla ya Tani milioni tano ( 5M )

Kwamsiofahamu, 98% ya mizigo yote inayoingia na kutoka Tanzania na nchi jirani inapitia bandari ya Dar es Salaam,

Tujiulize, Kama tani elfu 20 kwa SGR zinaweza kubebwa kwa siku moja kwa kutumia treni mbili za SGR zinazopishana,

Je hizi tani 5M zinazopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kwa mwaka mzima zitabebwa kwa muda gan kwa kutumia hii SGR?

Fanya hivi,gawanya tani 5M kwa tani elfu 20 utapata Jumla ya siku 250 za kuisafirisha mizigo yote ya mwaka ya bandari ya Dar es salaam kwa kutumia SGR,

Mkumbuke kuwa, Safari ya Treni ya Mzigo toka Dar -Mwanza ni wastani wa masaa tisa ( 9 ) wakati Safari ya Lori ni zaidi ya masaa 48,

Lakini pia,bei ya kusafirisha mizigo kwa SGR ni ndogo kuliko ile ya Lori na Usalama wa mzigo kwenye SGR ni mkubwa kuliko ule wa kwenye Lori,

Sikia,Nimfanyabiashara mjinga tu ndio anaweza kuacha kupakia SGR yenye nafasi akapakia mzigo kwenye Lori

Sababu pekee inayoweza kuyanusuru haya Malori yetu ni kuwa na bandari nyingine kubwa itakayokuwa na uwezo mkubwa wa kushusha mizigo mingi zaidi ya ile ya Dar es salaam ili SGR ibebe na isaze na Malori ya bebe pia,

Kama hili halitafanyika kuna watu wengi mnakwenda kukosa ajira zenu hapo baadae kidogo,

Nadhani hii ni moja ya sababu ya kwanini Rais Samia anataka bandari hii ijengwe tena kwa haraka kabla ya kumalizika kwa SGR,


NB, Mnaolalamika kuhusu Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo rudieni tena kusoma andiko hili kwa makini
Umeandika mengi lakini mwishowe umeharibu kabisa! Hakuna mtu hasiyetaka bandari ya Bagamoyo isijengwe. Tatizo lipo kwenye uwazi wa huo mradi. Kumbuka mradi ni wa wachina, na hadi sasa wakati hii bandari ya Bagamoyo inapigiwa chapuo sana yaani kwa udi na uvumba tumejionea na tundelea kujionea wenyewe ni kwa kiasi gani China imekuwa na ajenda isiyo rasmi ya kujimilikisha baadha ya huduma/miradi mikubwa iliyo chini ya usimamizi wa Serikali nyingi za Kiafrica. Mfano: Kenya, Zambia, Uganda na hata Sudan ya Kusini kwa kigezo cha kushindwa kulipa mikopo yao. Husikurupuke tu bila kufanya upembezi yakinifu kwa maslahi mapana ya Nchi!
 
Point yangu hakuna haja ya bandari ya bagamoyo wakati tunatakiwa kukuza bandari ya Tanga ambayo itapitisha mafuta. Ushauri wangu ni kukuza bandari ya Tanga serikali ikiwekeza $2B itatosha kabisa badala ya kuwekeza $10B kwa bandari mpya!!
Wataalam wetu wanamajibu ni kwanini iwe hivyo
 
Umeandika mengi lakini mwishowe umeharibu kabisa! Hakuna mtu hasiyetaka bandari ya Bagamoyo isijengwe. Tatizo lipo kwenye uwazi wa huo mradi. Kumbuka mradi ni wa wachina, na hadi sasa wakati hii bandari ya Bagamoyo inapigiwa chapuo sana yaani kwa udi na uvumba tumejionea na tundelea kujionea wenyewe ni kwa kiasi gani China imekuwa na ajenda isiyo rasmi ya kujimilikisha baadha ya huduma/miradi mikubwa iliyo chini ya usimamizi wa Serikali nyingi za Kiafrica. Mfano: Kenya, Zambia, Uganda na hata Sudan ya Kusini kwa kigezo cha kushindwa kulipa mikopo yao. Husikurupuke tu bila kufanya upembezi yakinifu kwa maslahi mapana ya Nchi!
Ondoa hofu mkuu wangu,
 
Point yangu hakuna haja ya bandari ya bagamoyo wakati tunatakiwa kukuza bandari ya Tanga ambayo itapitisha mafuta. Ushauri wangu ni kukuza bandari ya Tanga serikali ikiwekeza $2B itatosha kabisa badala ya kuwekeza $10B kwa bandari mpya!!
Tujenge tuu zote kama mahitaji yapo na pesa zipo
 
Tujenge tuu zote kama mahitaji yapo na pesa zipo
Hakuna pesa wala mahitaji. Ukweli ni kwamba tunatakiwa kuongeza uwezo wa mizigo tayari bandari ya Dar inapanuliwa na ya Tanga baada ya mkataba wa mafuta huko Uganda. sasa kwanini wasiongeze pesa kwenye hizo ambazo yatari kampuni ya total wanatupa na kuwa na bandari kubwa pale Tanga. Na gharama zitakuwa nafuu sana kwa uwezo huohuo. Kwanza bandari ipo, pesa za upanuzi wa bomba zipo hivyo unaongezea pale tu na sio kukopa $10B kwa uchumi wa $60B tu pesa zitaishia kulipa madeni. Lakini hiyo mizigo ambayo inasubiri bandari mpya iko wapi?. Uganda wanatumia ya Tanga, Zambia ya Dar sasa mizigo iko wapi?? ya bandari ya $10B? Lazima tufanye vitu kwa mpangilio hakuna pesa ya bure
 
Hakuna pesa wala mahitaji. Ukweli ni kwamba tunatakiwa kuongeza uwezo wa mizigo tayari bandari ya Dar inapanuliwa na ya Tanga baada ya mkataba wa mafuta huko Uganda. sasa kwanini wasiongeze pesa kwenye hizo ambazo yatari kampuni ya total wanatupa na kuwa na bandari kubwa pale Tanga. Na gharama zitakuwa nafuu sana kwa uwezo huohuo. Kwanza bandari ipo, pesa za upanuzi wa bomba zipo hivyo unaongezea pale tu na sio kukopa $10B kwa uchumi wa $60B tu pesa zitaishia kulipa madeni. Lakini hiyo mizigo ambayo inasubiri bandari mpya iko wapi?. Uganda wanatumia ya Tanga, Zambia ya Dar sasa mizigo iko wapi?? ya bandari ya $10B? Lazima tufanye vitu kwa mpangilio hakuna pesa ya bure
Hii ya Bagamoyo itakuwa na kuvutia meli kubwa kubwa mkuu Wangu
 
Hii ya Bagamoyo itakuwa na kuvutia meli kubwa kubwa mkuu Wangu

Sasa kwanini wasipanue ya Tanga wakati tayari kuna mafuta yanapita pale!, nafasi ipo na itakuwa bei nafuu sana sana. Yaani nachosema hapa serikali isidakie tu kama vile pesa ni ya bure au mizigo ya bandari ya Dar itabaki hivi hivi
 
Back
Top Bottom