SGR ikikamilika Bila Bandari ya Bagamoyo malori yatalazimika kupaki

15 October 2018

Rais wa chama cha wasafirishaji Tanzania TAT



Rais wa TAT Bw. Mohamed Abdullah akizungumzia changamoto mbalimbali za madereva na wamiliki wa malori nchini Tanzania na nchi jirani kwa ujumla
Source : Transporters Association of Tanzania
 
Januari 03, 2021

Changamoto za Usafirishaji 2021, Chama cha Wasafirishaji chanena




Rais wa TAT Bw. Mohamed Abdullah akizungumzia fursa, soko na changamoto mbalimbali za wamiliki wa malori nchini Tanzania katika usafirishaji kanda za nchi za SADC na Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC pamoja na sheria za customs, 'dumping' mizigo ya transit, Containers zilizofungwa seal, Mamlaka za Revenue n.k kanda hizi za usafirishaji upande huu wa nchi Kusini mwa Afrika, Afrika Mashariki na Eneo la Maziwa Makuu yaani DR Congo, Burundi na Rwanda.

Source : ITV Tanzania
 
SGR ikikamilika inaweza kubeba mizigo yote ya Bandari ya Dar es Salaam kwa siku 250 Tu,

Kama SGR itakamilika bila ya Bandari ya Bagamoyo kujengwa basi Malori yote ya mizigo mnayoyaona hapa nchini yatalazimika kupaki

Iko hivi,treni moja ya mizigo ya SGR inauwezo wa kubeba Jumla ya Tani elfu 10 karibu sawa na Malori 500 kwa Safari moja,

TRC ikiwa na Treni mbili tu za mizigo zinazopishana kwa kila siku basi tutasafirisha Jumla ya Tani elfu 20 kwa siku moja sawa na Malori 1,000.

Nimejaribu kutafuta wastani wa mizigo iliyopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kati ya mwaka 2016|2020 nimepata ni wastani wa Jumla ya Tani milioni tano (5M)

Kwamsiofahamu, 98% ya mizigo yote inayoingia na kutoka Tanzania na nchi jirani inapitia bandari ya Dar es Salaam,

Tujiulize, Kama tani elfu 20 kwa SGR zinaweza kubebwa kwa siku moja kwa kutumia treni mbili za SGR zinazopishana,

Je hizi tani 5M zinazopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kwa mwaka mzima zitabebwa kwa muda gan kwa kutumia hii SGR?

Fanya hivi,gawanya tani 5M kwa tani elfu 20 utapata Jumla ya siku 250 za kuisafirisha mizigo yote ya mwaka ya bandari ya Dar es salaam kwa kutumia SGR,

Mkumbuke kuwa, Safari ya Treni ya Mzigo toka Dar -Mwanza ni wastani wa masaa tisa ( 9 ) wakati Safari ya Lori ni zaidi ya masaa 48,

Lakini pia,bei ya kusafirisha mizigo kwa SGR ni ndogo kuliko ile ya Lori na Usalama wa mzigo kwenye SGR ni mkubwa kuliko ule wa kwenye Lori,

Sikia,Nimfanyabiashara mjinga tu ndio anaweza kuacha kupakia SGR yenye nafasi akapakia mzigo kwenye Lori

Sababu pekee inayoweza kuyanusuru haya Malori yetu ni kuwa na bandari nyingine kubwa itakayokuwa na uwezo mkubwa wa kushusha mizigo mingi zaidi ya ile ya Dar es salaam ili SGR ibebe na isaze na Malori ya bebe pia,

Kama hili halitafanyika kuna watu wengi mnakwenda kukosa ajira zenu hapo baadae kidogo,

Nadhani hii ni moja ya sababu ya kwanini Rais Samia anataka bandari hii ijengwe tena kwa haraka kabla ya kumalizika kwa SGR,


NB, Mnaolalamika kuhusu Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo rudieni tena kusoma andiko hili kwa makini

Huu utafitiwako hata kichaa anafahamu kitakacho tokea kuhusu malori baada ya reli SGR kukalilika.

Watu wanachukizwa na hawataki hiyo bandari kujengwa sababu mikatabayake inautata,maana tulisha ambiwa madharayake sasa nivema waiwekewazi ilikujuwa ukweli ninini, ipelekwe bungeni ikajadiliwe.
Hao wachina unaweza ukashangaa wakaja na makampuni yao pia ya malori na maderevawao kwaajili ya logistics.
Sababu ni wataalam sana wa kuchea na fursa.
Kuna bandari kavu zinajengwa vigwaza huko na sehem nyingine,malori yata beba huko.

Pia kumbuka mizigo ikitoka bandarini kwa haraka na SGR, itaondoa msongamano na kuacha nafasi ambayo itasababisa speed ya kupakua macontena kwenye meli kuongezeka.

Kwahiyo kutakuwa na mzigo mwingi unao ingina na kutoka kwa wakati ambapo hata hiyo SGR itaweza kuzidiwa,na malori yatapata mizigo pia.

Kama hao wanchina wanakupendeni waambieni wa panue bandari ya Dar kwakutumia hata robo tu ya gharama wanazo taka kujenga huko bagamoyo,alafu kodi tuchukue sisi kama kawaida then tuwalipe pesazao na riba hata kama ni %25, kuliko kuwaachia bandari hiyo wanayo taka kujenga alafu wajilipe miaka mia.

Na ufahamu katika miaka yote hiyo watakayo kuwa wana operate hiyo bandari ya bagamoyo,bandarizetu zote zitakufa zenyewe outomatical na wafanyakazi wa bandari wanaweza kupunguzwa hata % 60/ 70 sababu watakuwa hawana kazi ya kufanya.

Mikataba mibovu Tanzania hatu logwagi na mtu yoyote na wala hatuingizwi mkenge,ila kunawatu wanafanya makusudi kwa manufaanyao.

INAUMA SANA.

Acheni kutetea ufisadi kuweni wazalendo.
 
Hapana mkuu
Hii ya Kwetu itakuwa na kasi ya 160Km kwa saa na hapa mpaka Moro sio chini ya km 200, ambayo tunataraji itatumia saa 1 na dk 25. Hapo ikiwa haijasimama popote, ikumbukwe kuna vituo kama 3-4 hapo katikati. Hivyo kwakuwa haitakuwa ikitembea katika kasi yake ya juu itachukua muda huo niliotaja.
 
Hii ya Kwetu itakuwa na kasi ya 160Km kwa saa na hapa mpaka Moro sio chini ya km 200, ambayo tunataraji itatumia saa 1 na dk 25. Hapo ikiwa haijasimama popote, ikumbukwe kuna vituo kama 3-4 hapo katikati. Hivyo kwakuwa haitakuwa ikitembea katika kasi yake ya juu itachukua muda huo niliotaja.
Kuna miscalculation hapa
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
SGR ikikamilika inaweza kubeba mizigo yote ya Bandari ya Dar es Salaam kwa siku 250 Tu,

Kama SGR itakamilika bila ya Bandari ya Bagamoyo kujengwa basi Malori yote ya mizigo mnayoyaona hapa nchini yatalazimika kupaki

Iko hivi,treni moja ya mizigo ya SGR inauwezo wa kubeba Jumla ya Tani elfu 10 karibu sawa na Malori 500 kwa Safari moja,

TRC ikiwa na Treni mbili tu za mizigo zinazopishana kwa kila siku basi tutasafirisha Jumla ya Tani elfu 20 kwa siku moja sawa na Malori 1,000.

Nimejaribu kutafuta wastani wa mizigo iliyopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kati ya mwaka 2016|2020 nimepata ni wastani wa Jumla ya Tani milioni tano (5M)

Kwamsiofahamu, 98% ya mizigo yote inayoingia na kutoka Tanzania na nchi jirani inapitia bandari ya Dar es Salaam,

Tujiulize, Kama tani elfu 20 kwa SGR zinaweza kubebwa kwa siku moja kwa kutumia treni mbili za SGR zinazopishana,

Je hizi tani 5M zinazopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kwa mwaka mzima zitabebwa kwa muda gan kwa kutumia hii SGR?

Fanya hivi,gawanya tani 5M kwa tani elfu 20 utapata Jumla ya siku 250 za kuisafirisha mizigo yote ya mwaka ya bandari ya Dar es salaam kwa kutumia SGR,

Mkumbuke kuwa, Safari ya Treni ya Mzigo toka Dar -Mwanza ni wastani wa masaa tisa ( 9 ) wakati Safari ya Lori ni zaidi ya masaa 48,

Lakini pia,bei ya kusafirisha mizigo kwa SGR ni ndogo kuliko ile ya Lori na Usalama wa mzigo kwenye SGR ni mkubwa kuliko ule wa kwenye Lori,

Sikia,Nimfanyabiashara mjinga tu ndio anaweza kuacha kupakia SGR yenye nafasi akapakia mzigo kwenye Lori

Sababu pekee inayoweza kuyanusuru haya Malori yetu ni kuwa na bandari nyingine kubwa itakayokuwa na uwezo mkubwa wa kushusha mizigo mingi zaidi ya ile ya Dar es salaam ili SGR ibebe na isaze na Malori ya bebe pia,

Kama hili halitafanyika kuna watu wengi mnakwenda kukosa ajira zenu hapo baadae kidogo,

Nadhani hii ni moja ya sababu ya kwanini Rais Samia anataka bandari hii ijengwe tena kwa haraka kabla ya kumalizika kwa SGR,


NB, Mnaolalamika kuhusu Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo rudieni tena kusoma andiko hili kwa makini
Asante sana,
 
SGR ikikamilika inaweza kubeba mizigo yote ya Bandari ya Dar es Salaam kwa siku 250 Tu,

Kama SGR itakamilika bila ya Bandari ya Bagamoyo kujengwa basi Malori yote ya mizigo mnayoyaona hapa nchini yatalazimika kupaki

Iko hivi,treni moja ya mizigo ya SGR inauwezo wa kubeba Jumla ya Tani elfu 10 karibu sawa na Malori 500 kwa Safari moja,

TRC ikiwa na Treni mbili tu za mizigo zinazopishana kwa kila siku basi tutasafirisha Jumla ya Tani elfu 20 kwa siku moja sawa na Malori 1,000.

Nimejaribu kutafuta wastani wa mizigo iliyopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kati ya mwaka 2016|2020 nimepata ni wastani wa Jumla ya Tani milioni tano (5M)

Kwamsiofahamu, 98% ya mizigo yote inayoingia na kutoka Tanzania na nchi jirani inapitia bandari ya Dar es Salaam,

Tujiulize, Kama tani elfu 20 kwa SGR zinaweza kubebwa kwa siku moja kwa kutumia treni mbili za SGR zinazopishana,

Je hizi tani 5M zinazopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kwa mwaka mzima zitabebwa kwa muda gan kwa kutumia hii SGR?

Fanya hivi,gawanya tani 5M kwa tani elfu 20 utapata Jumla ya siku 250 za kuisafirisha mizigo yote ya mwaka ya bandari ya Dar es salaam kwa kutumia SGR,

Mkumbuke kuwa, Safari ya Treni ya Mzigo toka Dar -Mwanza ni wastani wa masaa tisa ( 9 ) wakati Safari ya Lori ni zaidi ya masaa 48,

Lakini pia,bei ya kusafirisha mizigo kwa SGR ni ndogo kuliko ile ya Lori na Usalama wa mzigo kwenye SGR ni mkubwa kuliko ule wa kwenye Lori,

Sikia,Nimfanyabiashara mjinga tu ndio anaweza kuacha kupakia SGR yenye nafasi akapakia mzigo kwenye Lori

Sababu pekee inayoweza kuyanusuru haya Malori yetu ni kuwa na bandari nyingine kubwa itakayokuwa na uwezo mkubwa wa kushusha mizigo mingi zaidi ya ile ya Dar es salaam ili SGR ibebe na isaze na Malori ya bebe pia,

Kama hili halitafanyika kuna watu wengi mnakwenda kukosa ajira zenu hapo baadae kidogo,

Nadhani hii ni moja ya sababu ya kwanini Rais Samia anataka bandari hii ijengwe tena kwa haraka kabla ya kumalizika kwa SGR,


NB, Mnaolalamika kuhusu Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo rudieni tena kusoma andiko hili kwa makini
Awesome
 
Back
Top Bottom