Kenya mabasi na malori bado yanafanya na SGR ipo Mombasa hadi Nairobi.Wale wote mliowekeza vyombo vya usafiri njia hiyo, anzeni kutafuta biashara nyingine za kufanya.
Madereva wa malori na mabasi anzeni kujifunza stadi mpya. Hii ni tahadhari tu. Nchi hii haitaisha vilio kutoka kwa wanyonge.
Hayo magari yataenda sehemu nyingine ambako hayaendi kwa wakati huu.Wale wote mliowekeza vyombo vya usafiri njia hiyo, anzeni kutafuta biashara nyingine za kufanya.
Madereva wa malori na mabasi anzeni kujifunza stadi mpya. Hii ni tahadhari tu. Nchi hii haitaisha vilio kutoka kwa wanyonge.
Wale wote mliowekeza vyombo vya usafiri njia hiyo, anzeni kutafuta biashara nyingine za kufanya.
Madereva wa malori na mabasi anzeni kujifunza stadi mpya. Hii ni tahadhari tu. Nchi hii haitaisha vilio kutoka kwa wanyonge.