Do you not know that he who unites himself with a prostitute is one with her in body? For it is said, “The two will become one flesh.17 But whoever is united with the Lord is one with him in spirit.1wakorintho 6:16
Yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja nae......
kwa mujibu wa nini mkuu
sawa sawa mkuu naona umetanua wigo.Sitopenda kuzungumzia mapepo wala majini,
Kawaida mwili wa mwanadamu una nguvu au tuseme energy, energy hizi ni tofauti kati ya mtu na mtu, energy hizi zinabema mambo mengi kumuhusu mtu, SEX ni kitendo cha muunganiko wa kimwili kati ya jinsia mbili, wakati muunganiko huu unafanyika panatokea pia linking ya body energy. One person body energy inaweza kuathiri other body energy au kukatokea energy transfer from one body to another, kama umepokea energy from other person, inategea how stong is your energy, ile energy ngeni inpoingia katika mwili wako inaweza kuleta conflict with your energy au isilete chochote.
N:B sio kila staili ya sex inafanya energy contact, na kuna nyingine zinafanya more na nyingine zinafanya less.
why that energy is specifically for sexual connection and not other connections such as wakati mama anamsaidia mtoto mdogo aliyesiba pua kwa kumnyonya kwa kutumia mdomo.When doing sex katika mtingo unao fanya body energy points to meet, hapo panakuwa na clear energy transfer or sharing.
Energy transfer implies the release of potential energies across a potentiated* space. The sexual energy transfers occur due to the polarizations of two mind/body/spirit complexes, each of which have some potential difference between them.
The nature of the transfer of energy, or of the blockage of this energy, is then a function of the interaction of these two potentials. In the cases where transfer takes place, it is like a circuit being closed
hii ni imani au ni kitu chenye ushahidi sehemu flani.hii ipo sana unaweza kukutana kingono na mtu ukapata mikosi ya ajabu ajabu au ukaoa mwanamke vilevile ukaandamwa na mikosi ambayo hapo awali uliisikia kwa watu tu!jambo lipo kuna sehemu unaweza kuchumbia ukaambiwa pale ni mlango wa 8 si mchezo lazma uonje chungu!hakuna kitu naogopa kama nuksi na mikosi mungu tuepushie
damu inahusikaje pale mkuu,....Kumbuka kushiriki tendo la ndoa ni kushirikiana kwa wawili katika DAMU na KIMWILI...
Zipo nguvu za MAJINI na hata Mashetani kuweza kuishi katika Mwili ama Mishipa ya BINADAM pasipo kikwazo chochote....
Yapo mengi ninayofahamu juu ya UKWELI huu na nakubaliana kwa 100% na mleta mada...
umetoa ushuhuda sio ushahidi kutoka katika chanzo flani mkuu.Let me first declare my interest kuwa nakubaliana nawe mtoa mada kwa 100% juu ya hili. Wazee wetu zamani kabla ya kijana kuoa walitaka wafahamu binti anatokea ukoo gani; hapa kuna vitu vingi sana wazee wetu walikuwa wakiangalia kabla hujaruhusiwa kuwa na mahusiano na huyo binti.
Tendo la ndoa spiritually linabeba uhusiano wa damu kati ya washiriki. Kuputia tendo hilo washiriki wanatengeneza bound/ muungano wa kiroho. Kama kuna laana na baraka basi hizo pande mbili wote watakuwa washiriki wa hizo laana na baraka. Wazee waliliangalia hili kwa jicho la tatu wakiwa na maana kubwa ya kutoruhusu kijana wao akauingiza ukoo katika laana/ magonjwa na matatizo kwa kushirikiana na mwanamke ambaye anatoka katika koo zilizoathilika na mizimu, majini sijui ndo mashetani hayohayo.
Kwa kizazi chetu ambacho wengi hatuangalii historia ya ukoo anaotoka partner wako, tumekuwa wepesi kushiriki tendo la ndoa pasipo kujuana kwanza. Hii imepelekea kuchangiana baraka na laana kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
Asante
HahahhahaMkuu kwa hofu uliyotutengenezea,ukitangaza dawa utapiga mshiko zaidi ya babu loliondo!
mama na mtoto wana share energy zinazo fanana kama ulivyo uliza pia kuhusu mapacha. Kama vile mume na mke baada ya muda wa kuwa pamoja kunakuwa na muunganiko wa kuzoeana wa energy ambao unakuwa hauna madhara, lakini pia inaweza kutokea kukawa na madhara ya ki energy kati ya mke na mume.why that energy is specifically for sexual connection and not other connections such as wakati mama anamsaidia mtoto mdogo aliyesiba pua kwa kumnyonya kwa kutumia mdomo.
huu mfano huku afrika ni mdomo wa mama unavuta kupitia pua ya mtoto. Huku hakuna potential energy kwa nini tendo la ndoa tu.
Najaribu kuwaza kwa mbali
nashukuru kwa ufafanuzi mkuu, hizi energy unazungumzia zipi hizi hizi tunazozisoma kwenye physics au kuna extra-terrrestrial energiesmama na mtoto wana share energy zinazo fanana kama ulivyo uliza pia kuhusu mapacha. Kama vile mume na mke baada ya muda wa kuwa pamoja kunakuwa na muunganiko wa kuzoeana wa energy ambao unakuwa hauna madhara, lakini pia inaweza kutokea kukawa na madhara ya ki energy kati ya mke na mume.
Ebu tuone yako yenye maana mkuu...unapozungumza haya ili iwe nini?
haya yote unayozungumza ni mambo ya kijinga
nilidhani kwamba ungalileta mada nzuri yenye kuleta maendeleo kwa binadamu
nakuomba utuletee fikra zinazoleta maendeleo kwa binadamu na si kutisha watu, ili waendee kutoa zaka na sadaka,
mambo unotueleza hayo ni mambo ya kidini, ambapo dini hushughulika na maendeleo ya watu wafu
Ww apohivi ulishawahi kuyaona Majini?