Sexualities and relationships

JLUKWARO

New Member
Nov 14, 2012
4
0
CAN TWO PEOPLE BECOME FRIENDS AFTER HAVING SEX MORE THAN OUNCE?
JE WATU WAWILI WANAWEZA KUWA WAPENZI TENA BAADA YA KUFANTA MAPENZI ZAIDI YA MARA MOJA?
Let me hear you :A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose:
 
no ways...nikimuona tuuu nawaza kumgegeda....we can be frends with benefits thats for sure
 
Yes they can, afu hiyo ndo safi sasa hakuna mastress, no strings attached kwa kidhungu, mnamichana afu kila mtu na hamsini zake sio kila siku lkn, sumtyms mna act kama marafiki vile story story lunch together maushauri etc. Hiyo safi saaaana
 
Watoto wa mjini siku hizi wanasema "kiroho safi"....
Ila ule mchezo sijui una nini, mkianza tu kuushiriki kuna kitu kinazaliwa nacho ni WIVU!
Hapo ndio mgogoro mpya wa nafsi unaanza....!
 
heading inaendana na mada ya ndani?

Sexuality kwani maana yake nini?

Afu nikisoma kwa kingereza na kiswahili zinanipa maana tofauti.

Nilidhani unataka kujua kama ' wanaweza kuwa marafiki baada ya kujamiiana zaidi ya mara moja?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom