Sexology

Tuko

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
11,178
7,319
Nahisi kuna mahali tunakosea. Hii kusema mambo ya mapenzi yasifundishwe shuleni tunakosea. Matatizo yanayotokea siku hizi katika mahusiano sio ya kupuuzia. Kama tunafundishana biashara, kilimo, ufundi nk, lazima pia tujali kuwa watu wanawekeza mahela mengi na muda mrefu kwenye mapenzi huku wakikosa ujuzi kwenye hayo mambo.
Hata ukisoma tu hapa jf utagundua yapo matatizo mengi ya kimapenzi yanayotokana na watu kukosa kujua just simple principles za mapenzi. ..

kuna umuhimu somo la mapenzi kuingia somewhere katika syllabus. ..
 
kila kitu kikifundishwa shuleni muda utatosha kweli,watu si watazeekea masomon,ujasiliamali,ufundi,mapishi,usafi,kilimo,mahusiano,dini etc etc, kuna elimu ya darasan na ya duniani na mtu ili akamilike lazima uwe nazo zote na kuelimika si kwenda shulen tu
 
kila kitu kikifundishwa shuleni muda utatosha kweli,watu si watazeekea masomon,ujasiliamali,ufundi,mapishi,usafi,kilimo,mahusiano,dini etc etc, kuna elimu ya darasan na ya duniani na mtu ili akamilike lazima uwe nazo zote na kuelimika si kwenda shulen tu

Compare and contrast elimu ya darasani na duniani?
 
Tuko
Hii kitu niliishapata kuiwasilisha hapa, hii kitu ni muhimu sana, sex life imekuwa ni Janga la dunia nzima kwa sasa.
 
Or myb waiite life skills education,ni ukweli usiopingika mapenzi yanamgusa kila mtu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom