malkiamrembo
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 386
- 231
Habari zenu jamani, nimeumizwa sana na hii biashara ya sex toys yaani midoli ya kufanyia mapenzi, ni hatari kwa sababu itatengeneza kizazi cha watu wasiotoshelezwa na waume zao,
Nimewaza kama mtoto wa shule akianza kutumia sex toys mpaka atakapokuwa mkubwa na kuolewa atakuwa amekubuhu hivyo hawezi kutoshelezwa na mumewe ni lazima apate lile toy, na pia sehemu zake za uk...... Zitakuwa ni kubwa sana kulingana na toy analotumia.
Jambo hili limeanzia America na sasa limeingi Tz, naomba wanawake tuamke sio slama haya matoy, na hata wenye watoto wakike muwaelimishe kabla mambo hayaja haribika.
Jamani mi nimemaliza.
Nimewaza kama mtoto wa shule akianza kutumia sex toys mpaka atakapokuwa mkubwa na kuolewa atakuwa amekubuhu hivyo hawezi kutoshelezwa na mumewe ni lazima apate lile toy, na pia sehemu zake za uk...... Zitakuwa ni kubwa sana kulingana na toy analotumia.
Jambo hili limeanzia America na sasa limeingi Tz, naomba wanawake tuamke sio slama haya matoy, na hata wenye watoto wakike muwaelimishe kabla mambo hayaja haribika.
Jamani mi nimemaliza.