Gitarijosenga
JF-Expert Member
- Aug 3, 2019
- 276
- 273
Ama wabongo wanaziita degree za chupi ,ni tatizo LA Africa tu ama wenzetu wazungu bado li awasumbua,kama umeangalia documentary ya BBC kuhusu tatizo hili Africa ,inaonesha shida ni kubwa sana kwa walimu wetu mavyuoni ,
Nina maswali yafuatayo
1.Je umewah kukutana na Lisa cha degree za chupi chuoni?
2.Waandishi wetu wanakwamba wapi na investigative journalism na Ku expose vitu kama hivi ?
Nina maswali yafuatayo
1.Je umewah kukutana na Lisa cha degree za chupi chuoni?
2.Waandishi wetu wanakwamba wapi na investigative journalism na Ku expose vitu kama hivi ?