Sex Dysfunction

Mokoyo

JF-Expert Member
Mar 2, 2010
15,148
5,553
Mahusiano mengi sana na ndoa nyingi sana zinaingia matatani kwa kosa la aidha kutoka nje ya ndoa au kukosa uaminifu. Lakini je kabla ya kuanza kuhisi mwenzio kutoka nje huwa unafikiri kuhusu "sex dysfunction"?. Je ni kweli kuwa tatizo hili limekuwa na kuongezeka sana kwa jinsia zote? Tujadili
 
Sex as sex it has all to do with the brain and eating well, tatizo liko huku town because of stress life style na eating bad. Ila kwa kijiji ni noma, eating well and stress free thats why the number of babies its high, maana 19:00 hrs siku ishaisha baba na mama washaenda lala kaazi kwer kwer kwer
 
Mahusiano mengi sana na ndoa nyingi sana zinaingia matatani kwa kosa la aidha kutoka nje ya ndoa au kukosa uaminifu. Lakini je kabla ya kuanza kuhisi mwenzio kutoka nje huwa unafikiri kuhusu "sex dysfunction"?. Je ni kweli kuwa tatizo hili limekuwa na kuongezeka sana kwa jinsia zote? Tujadili
Kutoka nje ya ndoa kwaweza sababishwa na;
1.upweke
2.kutoridhishwa kimapenzi
3.kutafuta pesa/mali
4.kuchokana
5.kulipiza kisasi
6.kutafuta mtoto
7.kukidhi tamaa ya mwili
8.kunasa kwenye mtego wa mapenzi pasipo kujua
9.Tabia ya kupenda kubadili badili
 
Kutoka nje ya ndoa kwaweza sababishwa na;
1.upweke
2.kutoridhishwa kimapenzi
3.kutafuta pesa/mali
4.kuchokana
5.kulipiza kisasi
6.kutafuta mtoto
7.kukidhi tamaa ya mwili
8.kunasa kwenye mtego wa mapenzi pasipo kujua
9.Tabia ya kupenda kubadili badili
Je, haya yote uliyoyataja hapa si yanasababishwa na sex dysfunction?
 
Sex as sex it has all to do with the brain and eating well, tatizo liko huku town because of stress life style na eating bad. Ila kwa kijiji ni noma, eating well and stress free thats why the number of babies its high, maana 19:00 hrs siku ishaisha baba na mama washaenda lala kaazi kwer kwer kwer
Tufanyeje sasa? Bado sijakuelewa vizuri
 
Kutoka nje ya ndoa kwaweza sababishwa na;
1.upweke
2.kutoridhishwa kimapenzi
3.kutafuta pesa/mali
4.kuchokana
5.kulipiza kisasi
6.kutafuta mtoto
7.kukidhi tamaa ya mwili
8.kunasa kwenye mtego wa mapenzi pasipo kujua
9.Tabia ya kupenda kubadili badili

Hiyo yenye red si kweli bali ni kujiendekeza tu.
 
Sex as sex it has all to do with the brain and eating well, tatizo liko huku town because of stress life style na eating bad. Ila kwa kijiji ni noma, eating well and stress free thats why the number of babies its high, maana 19:00 hrs siku ishaisha baba na mama washaenda lala kaazi kwer kwer kwer
Kweli
 
Je, haya yote uliyoyataja hapa si yanasababishwa na sex dysfunction?
Ameshasema hapo kwenye kutoridhishwa kimapenz....kama mmojawapo anatatizo either hapigi gem vzuri au hasimamishi kabisa itapelekea mtu kutafuta nje ya box
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom