Serukamba aliwahi kuomba uraia wa Tanzania au aliidanganya kuwa ni mtanzania

jimatem

New Member
Aug 26, 2012
2
0
Hapa Tanzania ukiwa na kadi ya Ccm na unatetea ufisadi basi hata kama si raia unaweza kuwa diwani, mbunge au hata waziri ili mradi uwe upande wa chama cha mafisadi. Mmoja wa hao watu ni Peter Serukamba pamoja na ukweli kujulikana kuwa si raia wala hakuwahi kuomba uraia mpaka sasa ili ni mbunge na mpambe wa mafisadi
 
Serukamba sio raia na hili lipo wazi ila anatetewa na mfumo mbovu wa system kwa maslahi ya mmoja wa wagombea uraisi 2015.Ana cheti cha ukimbizi na pia amesomeshwa sekondari na UNHCR. Hata kesi yake ya kushinda ubunge Kigoma mjini inafunikwa funikwa kwa kushirikiana na baadhi ya waandishi wa habari ktk ITV hasahasa hyu deogratias Nsokolo na hata mmoja wa WAHriri wa Tanzania Daima ambaye ni mtu wa karibu wa EL. Yasemekana pia hata ZITTO anasadikiwa kuwa yuko kuhakikisha kuwa Serukamba hapotezi jimbo hlo mahakamani!
 
uzushi mwingine haufai kusikilizwa. Kwani ninyi siyo wakimbizi?. Wakati mwingine upumbavu haustahili kutumika hata gizani.
 
Hapa Tanzania ukiwa na kadi ya Ccm na unatetea ufisadi basi hata kama si raia unaweza kuwa diwani, mbunge au hata waziri ili mradi uwe upande wa chama cha mafisadi. Mmoja wa hao watu ni Peter Serukamba pamoja na ukweli kujulikana kuwa si raia wala hakuwahi kuomba uraia mpaka sasa ili ni mbunge na mpambe wa mafisadi
Acha siasa zako za majitaka. Peter Serukamba ni mtanzania kwa kuzaliwa, kwa kuanzia,
1. Nenda Kijiji cha Mkigo,tarafa ya Kalinzi,jimbo la Mhe Zitto, pale upo ukoo wake, ulizia Mzee Charuza,na ukoo wa Kilima. Mama yake Peter Ukoo wake upo hapo,Mababu na mabibi zake...
2. Propaganda kama zako si Ngeni, ziliibuliwa alipokwenda kuomba ateuliwe kuwa Mgombea wa CCM, Siasa chafu ziliibuka na Kukata mzizi wa Fitna watu walikwenda kuulizia hapo kijijini, na Ukweli ulidhihirika...
Hivyo,nakusihi uache kuongelea vitu kwa chuki binafsi. Mtuhumu huyu mwanaMagamba Peter Serukamba kwa mengine siyo hili la URAIA.
 
Serukamba sio raia na hili lipo wazi ila anatetewa na mfumo mbovu wa system kwa maslahi ya mmoja wa wagombea uraisi 2015.Ana cheti cha ukimbizi na pia amesomeshwa sekondari na UNHCR. Hata kesi yake ya kushinda ubunge Kigoma mjini inafunikwa funikwa kwa kushirikiana na baadhi ya waandishi wa habari ktk ITV hasahasa hyu deogratias Nsokolo na hata mmoja wa WAHriri wa Tanzania Daima ambaye ni mtu wa karibu wa EL. Yasemekana pia hata ZITTO anasadikiwa kuwa yuko kuhakikisha kuwa Serukamba hapotezi jimbo hlo mahakamani!

Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
 
Acha siasa zako za majitaka. Peter Serukamba ni mtanzania kwa kuzaliwa, kwa kuanzia,
1. Nenda Kijiji cha Mkigo,tarafa ya Kalinzi,jimbo la Mhe Zitto, pale upo ukoo wake, ulizia Mzee Charuza,na ukoo wa Kilima. Mama yake Peter Ukoo wake upo hapo,Mababu na mabibi zake...
2. Propaganda kama zako si Ngeni, ziliibuliwa alipokwenda kuomba ateuliwe kuwa Mgombea wa CCM, Siasa chafu ziliibuka na Kukata mzizi wa Fitna watu walikwenda kuulizia hapo kijijini, na Ukweli ulidhihirika...
Hivyo,nakusihi uache kuongelea vitu kwa chuki binafsi. Mtuhumu huyu mwanaMagamba Peter Serukamba kwa mengine siyo hili la URAIA.
kama mama yake yupo ilikuwaje akachangia ziwa moja na zitto kabwe
 
mtanisamehe huwa nikona mada za kimagamba nacheka sana kwani hazina kichwa wala mkia
Mungu mwema sana anawapa kiburi kama cha farao na 2015 mtazama wote majini kwa kukosa maarifa
 
Serukamba sio raia na hili lipo wazi ila anatetewa na mfumo mbovu wa system kwa maslahi ya mmoja wa wagombea uraisi 2015.Ana cheti cha ukimbizi na pia amesomeshwa sekondari na UNHCR. Hata kesi yake ya kushinda ubunge Kigoma mjini inafunikwa funikwa kwa kushirikiana na baadhi ya waandishi wa habari ktk ITV hasahasa hyu deogratias Nsokolo na hata mmoja wa WAHriri wa Tanzania Daima ambaye ni mtu wa karibu wa EL. Yasemekana pia hata ZITTO anasadikiwa kuwa yuko kuhakikisha kuwa Serukamba hapotezi jimbo hlo mahakamani!

Yeye kama nani kuingilia uhuru wa mahakama.
 
Serukamba sio raia na hili lipo wazi ila anatetewa na mfumo mbovu wa system kwa maslahi ya mmoja wa wagombea uraisi 2015.Ana cheti cha ukimbizi na pia amesomeshwa sekondari na UNHCR. Hata kesi yake ya kushinda ubunge Kigoma mjini inafunikwa funikwa kwa kushirikiana na baadhi ya waandishi wa habari ktk ITV hasahasa hyu deogratias Nsokolo na hata mmoja wa WAHriri wa Tanzania Daima ambaye ni mtu wa karibu wa EL. Yasemekana pia hata ZITTO anasadikiwa kuwa yuko kuhakikisha kuwa Serukamba hapotezi jimbo hlo mahakamani!

kazi kweli kweli
 
Kweli pia ana kashfa ya ushoga!!!kazi ipo!!
Mkuu Skills4Ever Usijiingize kwenye shombo hili la ushabiki,tena bila Facts. Hizi ni tabia za wakosa hoja,Tena Magamba ndo zao hizi..Unakumbuka habari za kina Dr SAS,Bashe,et al? Mimi siipendi CCM na watu wake na mambo yao, lakini Ukweli, huyu jamaa ni MTANZANIA KWA KUZALIWA, WAZAZI wake wote wawili nao ni Watanzania kwa kuzaliwa,Mama yake (? Kilima Ntibayizi), Baba yake Mzee Joseph Serukamba. So hizi propaganda hazina maana. Pia ni kwanini watu wa Kigoma Kina Zitto ndo wanafikiliwa WAKIMBIZI, lakini hali ni tofauti kwa sisi watu Musoma,tarime kule(Wajaluo ),au Arusha wamasai na Wameru (amabao wapo Kenya,Na kuna mwingiliano mkubwa mno kati ya Jamii za hizo Kenya na Tz??) au Mtwara (wamakonde,kumbuka wanaingiliana sana na Mozambique)?? Kwanini inakuwa Special Case tuu kwa Watu wa kigoma? Epuka mitego hii,ni ya wavivu wa kufikiri.
 
Last edited by a moderator:
Hapa Tanzania ukiwa na kadi ya Ccm na unatetea ufisadi basi hata kama si raia unaweza kuwa diwani, mbunge au hata waziri ili mradi uwe upande wa chama cha mafisadi. Mmoja wa hao watu ni Peter Serukamba pamoja na ukweli kujulikana kuwa si raia wala hakuwahi kuomba uraia mpaka sasa ili ni mbunge na mpambe wa mafisadi

so, politics remains the most premium business in the country!. A person is only mentioned not to be a citizen only and only if he/she contests for a political post, let me mention some of them:

1. Peter selukamba

2. Iddi simba

3. Megji

4. Sioi Sumari

5. Mbunge wa sasa wa jimbo la Nyamagana.

6. Bashe.

7. Dr Kigwangwala

Shame upon you all.
 
Siyo bangi kaka. Huo ndiyo ukweli, fanya uchunguzi hiyo habari ya ziwa moja ni kweli. usibishe usiyoyajua.
Ndo maana Nikajiita UkweliKituGani...Hivi Penguine unaujua Ukweli halisi wa Peter Serukamba? au ni "UKWELI" gani unaoujua wewe? Am sure unaongea usichokijua. Mimi ninamfahamu jamaa ndani nje,pitia Post zangu kwenye uzi huu utajua ni nini nasema,vinginevyo unaongelea uzushi.
 
Last edited by a moderator:
Acha siasa zako za majitaka. Peter Serukamba ni mtanzania kwa kuzaliwa, kwa kuanzia,
1. Nenda Kijiji cha Mkigo,tarafa ya Kalinzi,jimbo la Mhe Zitto, pale upo ukoo wake, ulizia Mzee Charuza,na ukoo wa Kilima. Mama yake Peter Ukoo wake upo hapo,Mababu na mabibi zake...
2. Propaganda kama zako si Ngeni, ziliibuliwa alipokwenda kuomba ateuliwe kuwa Mgombea wa CCM, Siasa chafu ziliibuka na Kukata mzizi wa Fitna watu walikwenda kuulizia hapo kijijini, na Ukweli ulidhihirika...
Hivyo,nakusihi uache kuongelea vitu kwa chuki binafsi. Mtuhumu huyu mwanaMagamba Peter Serukamba kwa mengine siyo hili la URAIA.[/QUOT
Ni kweli mama yake ni wa kijiji cha Mkigo tarafa ya Kalinzi,Je mbona hautaji ukoo wa babake?
 
Back
Top Bottom