Hapa Tanzania ukiwa na kadi ya Ccm na unatetea ufisadi basi hata kama si raia unaweza kuwa diwani, mbunge au hata waziri ili mradi uwe upande wa chama cha mafisadi. Mmoja wa hao watu ni Peter Serukamba pamoja na ukweli kujulikana kuwa si raia wala hakuwahi kuomba uraia mpaka sasa ili ni mbunge na mpambe wa mafisadi