johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,850
- 141,769
Waziri wa viwanda na biashara amesema viwanda vyote vilivyobinafsishwa lakini wahusika hawakuviendeleza vitarejeshwa serikalini.
Waziri amesema baada ya sherehe za Saba saba atafanya ziara ya kukagua viwanda vyote na vile visivyoendelezwa vitarejeshwa serikalini.
Waziri ameyasema hayo alipokutana na waandishi wa habari kuzungumzia mikakati yake.
Source ITV habari!
Waziri amesema baada ya sherehe za Saba saba atafanya ziara ya kukagua viwanda vyote na vile visivyoendelezwa vitarejeshwa serikalini.
Waziri ameyasema hayo alipokutana na waandishi wa habari kuzungumzia mikakati yake.
Source ITV habari!