Seriously wapinzani ondokeni kwenye siasa za kitoto

CalvinKimaro

JF-Expert Member
Sep 11, 2017
244
312
Siasa za kitoto hazitafanya mfike Canan!

Kikao cha bunge kinachoendelea Dodoma ni ushahidi wa siasa zenu za kitoto mno! Huenda ni kweli mlikuwa na kikao mkaamua eti muvuruge kikao cha bunge! Huenda ni kweli mtatoka nje kabla ya kikao hiki kufungwa! Kama ndivyo basi utoto wenu umekithiri.

Yeyote aliyemsikiliza Sugu, Heche, Zitto, Bwege na wengineo atauona ukweli huu. Sijui nani amewadanganya haya ndiyo wapiga kura wanataka k...uyasikia?

Hebu tumchukulie Heche. Hata baada ya kutaarifiwa anatumia muda wake hovyo badala ya kujikita kuichambua taarifa ya waziri Wa fedha alishupalia "serikali inayojisifu kukusanya kuliko zoote"!!!

Sugu ndio hata hajui kwa nini yuko bungeni! Kashupalia kumkashifu MTU asiyepo bungeni. Anapinga vita dhidi ya mashoga katika mjadala wa waziri wa fedha na mipango! Ni kama hakujua nini kinajadiliwa! Wana Wa Mbeya mnavuna mlichopanda!

Ukija kwa bwege yeye mahoka! Hajui kinachojadiliwa! Eti kazi ya akili ni mhili tu! Kujua ukweli na uongo! Yaani kwake kujua wananchi watapata umeme na huduma za jamii sio kazi ya akili! Akamalizia kwa kudai alifuatwa anunuliwe!

Ndipo spika akaona amalize uke ujinga! Akamuonya je akitakiwa ushahidi atatoa! Bwege akasinyaa. Hivi wanaomchagua MTU sampuli hii wao wakoje?

Ndipo akaja Zitto Kabwe! Yeye haulizi kuhusu mipango jimboni make! Yeye anaulizia kesi! Sijui wananchi waliomchagua walimtuma?

Nakubaliana na waziri kuwa katumwa! Lakini sio na wananchi wa jimboni mwake! Hata alipoambiwa serikali haiwezi kutegwa bado alimgeukia mwenzake na kumwambia " kashtuka"!! Kama kweli alitega basis huyu ni mbunge asiyefaa kabisa. Mwaka 2020 asirejee.

Wananchi Wa jimboni lake waliondolee taifa mamluki huyu.

Lakini jambo moja limejitokeza dhahiri. Spika na Naibu wake wasipokuwa kitini bunge linayumba. Mfano mzuri ni pale Sugu alipokiuka kanuni na kugeuza bunge kivuli cha kutukana MTU asiyepo bungeni. Licha ya kina Jenista Mhagama kuingilia kati aliyekuwepo kitini alishindwa kusimamia kanuni.

Ilikuwa Sugu apelekwe kwenye kamati ya nidhamu na maadili. Kulikuwa na wabunge wakizomea hovyo ukumbini bila hata kuonywa. Ni vyema spika NA Naibu wake wawapige semina "wenyeviti"!.

Anayeshindwa kusimamia kanuni asipewe kiti!
 
Mkubwa meals
Siasa za kitoto hazitafanya mfike Canan!

Kikao cha bunge kinachoendelea Dodoma ni ushahidi wa siasa zenu za kitoto mno! Huenda ni kweli mlikuwa na kikao mkaamua eti muvuruge kikao cha bunge! Huenda ni kweli mtatoka nje kabla ya kikao hiki kufungwa! Kama ndivyo basi utoto wenu umekithiri.

Yeyote aliyemsikiliza Sugu, Heche, Zitto, Bwege na wengineo atauona ukweli huu. Sijui nani amewadanganya haya ndiyo wapiga kura wanataka k...uyasikia?

Hebu tumchukulie Heche. Hata baada ya kutaarifiwa anatumia muda wake hovyo badala ya kujikita kuichambua taarifa ya waziri Wa fedha alishupalia "serikali inayojisifu kukusanya kuliko zoote"!!!

Sugu ndio hata hajui kwa nini yuko bungeni! Kashupalia kumkashifu MTU asiyepo bungeni. Anapinga vita dhidi ya mashoga katika mjadala wa waziri wa fedha na mipango! Ni kama hakujua nini kinajadiliwa! Wana Wa Mbeya mnavuna mlichopanda!

Ukija kwa bwege yeye mahoka! Hajui kinachojadiliwa! Eti kazi ya akili ni mhili tu! Kujua ukweli na uongo! Yaani kwake kujua wananchi watapata umeme na huduma za jamii sio kazi ya akili! Akamalizia kwa kudai alifuatwa anunuliwe!

Ndipo spika akaona amalize uke ujinga! Akamuonya je akitakiwa ushahidi atatoa! Bwege akasinyaa. Hivi wanaomchagua MTU sampuli hii wao wakoje?

Ndipo akaja Zitto Kabwe! Yeye haulizi kuhusu mipango jimboni make! Yeye anaulizia kesi! Sijui wananchi waliomchagua walimtuma?

Nakubaliana na waziri kuwa katumwa! Lakini sio na wananchi wa jimboni mwake! Hata alipoambiwa serikali haiwezi kutegwa bado alimgeukia mwenzake na kumwambia " kashtuka"!! Kama kweli alitega basis huyu ni mbunge asiyefaa kabisa. Mwaka 2020 asirejee.

Wananchi Wa jimboni lake waliondolee taifa mamluki huyu.

Lakini jambo moja limejitokeza dhahiri. Spika na Naibu wake wasipokuwa kitini bunge linayumba. Mfano mzuri ni pale Sugu alipokiuka kanuni na kugeuza bunge kivuli cha kutukana MTU asiyepo bungeni. Licha ya kina Jenista Mhagama kuingilia kati aliyekuwepo kitini alishindwa kusimamia kanuni.

Ilikuwa Sugu apelekwe kwenye kamati ya nidhamu na maadili. Kulikuwa na wabunge wakizomea hovyo ukumbini bila hata kuonywa. Ni vyema spika NA Naibu wake wawapige semina "wenyeviti"!.

Anayeshindwa kusimamia kanuni asipewe kiti!
2020 sio mbali Sana watakachopata ni kiinua mgongo chao si zaidi ya hapo Kwa siasa zao za kitoto ingawa haifurahishi kukosa wapinzani imara ndani ya bunge letu
 
Siasa za kitoto hazitafanya mfike Canan!

Kikao cha bunge kinachoendelea Dodoma ni ushahidi wa siasa zenu za kitoto mno! Huenda ni kweli mlikuwa na kikao mkaamua eti muvuruge kikao cha bunge! Huenda ni kweli mtatoka nje kabla ya kikao hiki kufungwa! Kama ndivyo basi utoto wenu umekithiri.

Yeyote aliyemsikiliza Sugu, Heche, Zitto, Bwege na wengineo atauona ukweli huu. Sijui nani amewadanganya haya ndiyo wapiga kura wanataka k...uyasikia?

Hebu tumchukulie Heche. Hata baada ya kutaarifiwa anatumia muda wake hovyo badala ya kujikita kuichambua taarifa ya waziri Wa fedha alishupalia "serikali inayojisifu kukusanya kuliko zoote"!!!

Sugu ndio hata hajui kwa nini yuko bungeni! Kashupalia kumkashifu MTU asiyepo bungeni. Anapinga vita dhidi ya mashoga katika mjadala wa waziri wa fedha na mipango! Ni kama hakujua nini kinajadiliwa! Wana Wa Mbeya mnavuna mlichopanda!

Ukija kwa bwege yeye mahoka! Hajui kinachojadiliwa! Eti kazi ya akili ni mhili tu! Kujua ukweli na uongo! Yaani kwake kujua wananchi watapata umeme na huduma za jamii sio kazi ya akili! Akamalizia kwa kudai alifuatwa anunuliwe!

Ndipo spika akaona amalize uke ujinga! Akamuonya je akitakiwa ushahidi atatoa! Bwege akasinyaa. Hivi wanaomchagua MTU sampuli hii wao wakoje?

Ndipo akaja Zitto Kabwe! Yeye haulizi kuhusu mipango jimboni make! Yeye anaulizia kesi! Sijui wananchi waliomchagua walimtuma?

Nakubaliana na waziri kuwa katumwa! Lakini sio na wananchi wa jimboni mwake! Hata alipoambiwa serikali haiwezi kutegwa bado alimgeukia mwenzake na kumwambia " kashtuka"!! Kama kweli alitega basis huyu ni mbunge asiyefaa kabisa. Mwaka 2020 asirejee.

Wananchi Wa jimboni lake waliondolee taifa mamluki huyu.

Lakini jambo moja limejitokeza dhahiri. Spika na Naibu wake wasipokuwa kitini bunge linayumba. Mfano mzuri ni pale Sugu alipokiuka kanuni na kugeuza bunge kivuli cha kutukana MTU asiyepo bungeni. Licha ya kina Jenista Mhagama kuingilia kati aliyekuwepo kitini alishindwa kusimamia kanuni.

Ilikuwa Sugu apelekwe kwenye kamati ya nidhamu na maadili. Kulikuwa na wabunge wakizomea hovyo ukumbini bila hata kuonywa. Ni vyema spika NA Naibu wake wawapige semina "wenyeviti"!.

Anayeshindwa kusimamia kanuni asipewe kiti!
Bomboclat buda.....i dis u an your Babylon system, Jah gonna put yu pon de hell fire.....
 
Hebu%20jaribu%20kueleza%20ujumbe%20una%C3%B2jitokeza%20kwenye%20mchoro%20huu%20wa%20katuni%20...jpeg
 
Siasa za kitoto hazitafanya mfike Canan!

Kikao cha bunge kinachoendelea Dodoma ni ushahidi wa siasa zenu za kitoto mno! Huenda ni kweli mlikuwa na kikao mkaamua eti muvuruge kikao cha bunge! Huenda ni kweli mtatoka nje kabla ya kikao hiki kufungwa! Kama ndivyo basi utoto wenu umekithiri.

Yeyote aliyemsikiliza Sugu, Heche, Zitto, Bwege na wengineo atauona ukweli huu. Sijui nani amewadanganya haya ndiyo wapiga kura wanataka k...uyasikia?

Hebu tumchukulie Heche. Hata baada ya kutaarifiwa anatumia muda wake hovyo badala ya kujikita kuichambua taarifa ya waziri Wa fedha alishupalia "serikali inayojisifu kukusanya kuliko zoote"!!!

Sugu ndio hata hajui kwa nini yuko bungeni! Kashupalia kumkashifu MTU asiyepo bungeni. Anapinga vita dhidi ya mashoga katika mjadala wa waziri wa fedha na mipango! Ni kama hakujua nini kinajadiliwa! Wana Wa Mbeya mnavuna mlichopanda!

Ukija kwa bwege yeye mahoka! Hajui kinachojadiliwa! Eti kazi ya akili ni mhili tu! Kujua ukweli na uongo! Yaani kwake kujua wananchi watapata umeme na huduma za jamii sio kazi ya akili! Akamalizia kwa kudai alifuatwa anunuliwe!

Ndipo spika akaona amalize uke ujinga! Akamuonya je akitakiwa ushahidi atatoa! Bwege akasinyaa. Hivi wanaomchagua MTU sampuli hii wao wakoje?

Ndipo akaja Zitto Kabwe! Yeye haulizi kuhusu mipango jimboni make! Yeye anaulizia kesi! Sijui wananchi waliomchagua walimtuma?

Nakubaliana na waziri kuwa katumwa! Lakini sio na wananchi wa jimboni mwake! Hata alipoambiwa serikali haiwezi kutegwa bado alimgeukia mwenzake na kumwambia " kashtuka"!! Kama kweli alitega basis huyu ni mbunge asiyefaa kabisa. Mwaka 2020 asirejee.

Wananchi Wa jimboni lake waliondolee taifa mamluki huyu.

Lakini jambo moja limejitokeza dhahiri. Spika na Naibu wake wasipokuwa kitini bunge linayumba. Mfano mzuri ni pale Sugu alipokiuka kanuni na kugeuza bunge kivuli cha kutukana MTU asiyepo bungeni. Licha ya kina Jenista Mhagama kuingilia kati aliyekuwepo kitini alishindwa kusimamia kanuni.

Ilikuwa Sugu apelekwe kwenye kamati ya nidhamu na maadili. Kulikuwa na wabunge wakizomea hovyo ukumbini bila hata kuonywa. Ni vyema spika NA Naibu wake wawapige semina "wenyeviti"!.

Anayeshindwa kusimamia kanuni asipewe kiti!
tutaonekanaje tusiposema yaliyopo kwa watu
 
Mwana CCM mwenye akili zake timamu hawezi akaunga mkono upumbavu unaofanywa na baadhi ya wapinzani hata kama wanahamia kwenye chama chao kwa kuwa CCM haiwezi kuwa nzuri bila kuwa na upinzani.

Pia wanaccm wenye akili zao timamu wanawaona wabunge hao wanao hamia kwao, ni kama maboya wanaosumbuliwa na njaa na wanaofuata ulaji kwenye chama chao.
 
Ukifa upinzani ww kama mwananchi wa kawaida itakusaidia nn? Watanzania tuwe na akili japo kidogo au wabunge na madiwani wanachumia tumbo 2 pamoja na familia zao, kwa mfano leo hii zitto kabwe au tundu lisu wakiwasaliti wapiga kura wake na kuingia ccm bado watapata nafasi tena na vyeo vikubwa 2 ndani ya serikali vp ww mwanaccm mzawa utakuwa umepata nn? Kitengo cha propaganda ndani ya ccm Kazi yake itakuwa nn? Katibu wa itikadi na huenezi atafanya Kazi gani?
 
Haya sasa yule baada ya wabunge wa ccm kuzungumza ya nchi je,barabara zimejengwa?mbona vyuma bado vigumu kwako
 
Wapinzani wajikite kutetea majimbo yao na Suala la Haki na demokrasia tu kwa sasa.Kumshambulia sana Rais kwa kweli hua inaniuzi sana mana Rais ni Taasisi na Pia ni mwenyekiti wa Chama hivyo chama chake kimeridhika na anayoyafanya.

Masuala ya kupinga Mipango ya serikali ni kuzidi kujiangamiza mana CCM wao kiukweli hawana Sera inayotumika zaidi ya kusubiri Wapinzani wanakosoa wapi halafu wao wanatekeleza yale machache ya wapinzani halafu wanayatangaza masaa 24 ili wananchi waone wapinzani wanapinga pinga tu .
Ushahidi ni suala la Korosho wapinzani walilizungumza sana Bingeni na wabunge wengi wa CCM waliwazomea sana kuwa mpango wa serikali ni mzuri na wapinzani wanapotosha.
Matokeo yake Zito ameendelea kukosoa mpaka serikali ikaona ni kweli ilichemka kwa ujanja wakasikiliza ushauri wa Zito wa kununua korosho. Sasa cha ajabu hakuna mwana CCM hata mmoja aliyempongeza Zito zaidi ya kuutangazia umma wa wakulima wa korosho kuwa Zito alikua anapinga serikali isinunue Korosho ili wakulima wapate hasara.

Na kwa sababu bunge lipo gizani wananchi wakaamini mana TBC inatimika Muda wote kueneza Propaganda za CCM kwa kasi .
Matokeo yake watu wakapandwa na Hasira Kali dhidi ya Zito.

Wapinzani wakitaka Kujijenga kwa wananchi waache hulka ya kujijenga binafsi badala yake waache wananchi waibuke wenyewe na kujua mbivu na mbichi.

Wananchi kwa sasa bado wanaridhika sana na serikali ya CCM kwa sababu inajifunza kwa haraka Sera za wapinzani na kuzifanyia kazi ili halo Sera zake wameziacha.

Zito angekaa kimya huenda wakulima wa korosho wangeonja Joto ya Jiwe na Nina uhakika serikali isingenunua zile korosho.

Yale mambo serikali inayoyafanya kwa kukosea dawa yao ni kuwaacha tu mana ni wakati wao wa kufanya hayo waliyoomba kuyafanya

Wapinzani wangepigania zaidi majimbo yao kutokana na ilani ya CCM. Kuna masuala ya bima ya Afya bado ni ishu kwani wananchi wengi hawana. Wapinzani wangezungumzia mambo haya. Sio Korosho tu kwa sababu ya maslahi binafsi.
Wakati suala la Korosho Lilikua ni msumari wa moto kwa CCM sasa limegeuka kuwa ni neema kwao kutokana na wapinzani kulianzia kampeni mapema na CCM ikalitatua mapema.

Kweni Kimya serikali ifanye mambo yake mana ikikosea basi mtakutana wakati wa Uchaguzi 2020 kwenye kampeni kwa sasa ni Muda wa kutekeleza waliyoahidi.
 
Siasa za kitoto hazitafanya mfike Canan!

Kikao cha bunge kinachoendelea Dodoma ni ushahidi wa siasa zenu za kitoto mno! Huenda ni kweli mlikuwa na kikao mkaamua eti muvuruge kikao cha bunge! Huenda ni kweli mtatoka nje kabla ya kikao hiki kufungwa! Kama ndivyo basi utoto wenu umekithiri.

Yeyote aliyemsikiliza Sugu, Heche, Zitto, Bwege na wengineo atauona ukweli huu. Sijui nani amewadanganya haya ndiyo wapiga kura wanataka k...uyasikia?

Hebu tumchukulie Heche. Hata baada ya kutaarifiwa anatumia muda wake hovyo badala ya kujikita kuichambua taarifa ya waziri Wa fedha alishupalia "serikali inayojisifu kukusanya kuliko zoote"!!!

Sugu ndio hata hajui kwa nini yuko bungeni! Kashupalia kumkashifu MTU asiyepo bungeni. Anapinga vita dhidi ya mashoga katika mjadala wa waziri wa fedha na mipango! Ni kama hakujua nini kinajadiliwa! Wana Wa Mbeya mnavuna mlichopanda!

Ukija kwa bwege yeye mahoka! Hajui kinachojadiliwa! Eti kazi ya akili ni mhili tu! Kujua ukweli na uongo! Yaani kwake kujua wananchi watapata umeme na huduma za jamii sio kazi ya akili! Akamalizia kwa kudai alifuatwa anunuliwe!

Ndipo spika akaona amalize uke ujinga! Akamuonya je akitakiwa ushahidi atatoa! Bwege akasinyaa. Hivi wanaomchagua MTU sampuli hii wao wakoje?

Ndipo akaja Zitto Kabwe! Yeye haulizi kuhusu mipango jimboni make! Yeye anaulizia kesi! Sijui wananchi waliomchagua walimtuma?

Nakubaliana na waziri kuwa katumwa! Lakini sio na wananchi wa jimboni mwake! Hata alipoambiwa serikali haiwezi kutegwa bado alimgeukia mwenzake na kumwambia " kashtuka"!! Kama kweli alitega basis huyu ni mbunge asiyefaa kabisa. Mwaka 2020 asirejee.

Wananchi Wa jimboni lake waliondolee taifa mamluki huyu.

Lakini jambo moja limejitokeza dhahiri. Spika na Naibu wake wasipokuwa kitini bunge linayumba. Mfano mzuri ni pale Sugu alipokiuka kanuni na kugeuza bunge kivuli cha kutukana MTU asiyepo bungeni. Licha ya kina Jenista Mhagama kuingilia kati aliyekuwepo kitini alishindwa kusimamia kanuni.

Ilikuwa Sugu apelekwe kwenye kamati ya nidhamu na maadili. Kulikuwa na wabunge wakizomea hovyo ukumbini bila hata kuonywa. Ni vyema spika NA Naibu wake wawapige semina "wenyeviti"!.

Anayeshindwa kusimamia kanuni asipewe kiti!
Wapinzani Tanzania wamekariri siasa za kushutumiana wanasahau kujenga hoja za maendeleo ama kwa kwafahamu wanachokifanya kwa kudhamiria kuichafua tu serikali iliyopo madarakani au kwa kutofahamu hasara watakayoipata wapiga kura wao kwa kutumia muda wao bila faida ya kuwaletea maendeleo
 
Back
Top Bottom