darubin ya mbao
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 1,876
- 3,993
Kwa wafugaji wanajua madhara ya inbreeding na hakuna mfugaji makini ataruhusu hilo litokee maana hupelekea kupata uzao dhaifu sana na wakati mwingine hata watoto hudhoofu na kufa, sisi kama binadamu ni sehemu ya wanyama hatuwezi kukwepa madhara hayo.
Nje ya mada kama umemnyandua dada yako ukampa mimba fanyeni mchakato wa kuitoa chap.
Nje ya mada kama umemnyandua dada yako ukampa mimba fanyeni mchakato wa kuitoa chap.