Serikalini Wamekosekana Watu Wanaojua Crisis Management

Kwanza sidhani unachokisema ni sahihi. Ni lini mara ya mwisho kupata updates za ugonjwa huu? Masaa 48 (siku 2) hayajafika?

Updates utoe kila baada ya muda gani - hutegemea aina ya janga. Lakini muda unaoshauriwa, isiwe zaidi ya masaa 2 bila update. Hii inaweza kuwa screen update (kama zile number unazoziona kwenye TV stations za CNN au BBC), lakini detailed update, inatarajiwa angalao isipungue mara 1 katika masaa 24.

Kinacholengwa zaidi ni kutotengeneza ombwe la habari, na watu wakaliziba. Kiuhalisia huwezi kutunza ombwe. Kama huna cha kuweka ili kuziba ombwe, kuna watu watalijaza.

Wewe hujasikia watu wakisema kuwa serikali inaficha taarifa za maambukizi na vifo vinavyotokana na Coronavirus? Unadhani habari kama hizo, zaidi zinachangiwa na nini?

Haikustahili watu kushuhudia marehemu aliyefariki kwa maradhi ya Covid 19, kabla ya serikali kutangaza vifo vilivyotokea. Watu wakijua kuna mtu amefariki kwa Coronavirus wakati serikali haijatangaza, hata kama Serikali haikuwa na nia ya kuficha chochote, watu wanapata uthibitisho wa yale yanayosemwa kuwa Serikali inaficha taarifa, kwa sababu kwa muda ule, tayari wana uthibitisho. Lakini kiuhalisia, huenda Serikali imepanga kutangaza taarifa ya vifo siku 2 au 3 mbele.

Government must not create an environment for gossiping.
"From April 14 onward, New York City has provided - and will continue to provide - the updated number of probable deaths in its daily reports." Source: (Worldometer; Last updated 20/04/2020). Hapo ni New York wanatoa taarifa kila baada ya masaa 24. Unasemaje!
 
Wewe unaongelea yale majeshi ya kale, siyo ya sasa. Majeshi ya kisasa hawafanyi huo ujinga siku hizi. Ni lazima utoe taarifa sahihi wakati wote. Ni aheri usiseme kuliko kusema uwongo.
Majeshi ya kisasa yepi unayoonyelea? Ya matekani au wapi?
Just juzi tu Raisi Trump na Angela Markel walisema kuwa walikosea kuvamia Iraq na Libya na kuwaondoa Saddam Hussein na Ghadafi

Jeshi lipi.la kisasa unaloongelea wewe linalisema ukweli jeshi la mgambo au?
 
"From April 14 onward, New York City has provided - and will continue to provide - the updated number of probable deaths in its daily reports." Source: (Worldometer; Last updated 20/04/2020). Hapo ni New York wanatoa taarifa kila baada ya masaa 24. Unasemaje!
Unaunga mkono maelezo yangu.
 
Duh! So millions of people casted their votes for a "taahira thing". Mtu anayeweza kuwa rais wa nchi kwa kuchaguliwa, kumuita taahira ni zaidi ya huo utaahira wenyewe.

Kufanyia maamuzi nyuma ya keyboard au keypad ya simu ni rahisi sana kwani unalitizama tatizo kutokea pembeni. Ugumu unakuja pale ambapo unatakiwa kulitatua ukiwa katikati yake (starring).

Mpaka mtu anachaguliwa kuongoza taifa basi ujue anao uwezo mkubwa kwenye maeneo mengi ikiwemo problem management. Kukosea au kufanya blanda moja hakuwafanyi mataahira ambao hawajawahi hata kuwa viranja wa chekechea kumuita taahira.

Sent using Jamii Forums mobile app
cheki hapo chini maoni ya watu mbalimbali aliowahi kufanya nao kazi yeye akiwa ni rais wakieleezea khs uwezo wake wa akili/kufanya maamuzi:

“A fucking moron” — former Secretary of State Rex Tillerson.

“An idiot with the intelligence of a kindergartener—former National Security Advisor HR McMaster

“Like an 11-year old child” — former advisor Steve Bannon

“sick of being a wet nurse to a 71-year-old man.”— Steve Bannon

“like trying to figure out what a child wants” — former White House deputy chief of staff Katie Walsh.

”The White House has become an adult day care center”—Republican Senator Bob Corker

“Dumb as shit” — former economic advisor Gary Cohn

“A dope” — former National Security Advisor HR McMaster

“Less a person than a collection of terrible traits”—Trump’sformer chief economic adviser Gary Cohn

“He’s an idiot” — former advisor Sam Nunn

“an idiot” — former Chief of Staff John Kelly

“an idiot” — Treasury Secretary Steve Mnuchin

“an idiot” — former chief of staff Reince Preibus

“an idiot surrounded by clowns” — Gary Cohn

“someone who sucks up and shits down” — former Fox News chief Roger Aisles

“unhinged” — John Kelly
 
.
Unaunga mkono maelezo yangu.
Hapana. Naunga mkono maamuzi ya serikali ya kutoa taarifa kila baada ya masaa 48 kwasababu social issues are not mathematical that 2 × 2 = 4. Kwangu mimi Hata serikali yangu ingekiwa inatoa taarifa kila baada ya wiki ni sawa tu.
 
To be honest! Toka nisome ule waraka wa Baba Askofu Niyemugizi, nimekaa nikafikiria sana.

This is a defining moment, not only for our beloved country, but the whole world!

Kwa uhakika kabisa, viongozi walioenda kwenye kikombe cha babu, wasingeweza kukabiliana na janga ama acrisis kama hii!

Ni kweli kabisa kuwa watawala wetu wanatu reflect sisi wananchi wenyewe na kuna mtu huwa alikuwa anasema tusijilaumu na kutaka tupate viongozi walio tofauti na sisi.

Sasa dini na imani ndivyo vimeachwa vilivushe Taifa ambalo kwa kiasi kikubwa liko nyuma kwasababu ya mambo kama hayo! I am sad beyond words to explain!

Kwa kumalizia, niseme tu huko mbeleni, tutatambuwa tabia halisi za wanadamu nyakati za dhiki. Huwa wanasema ukweli wa mtu alivyo, huwa unaonekana wakati wa shida! Na pia ni nasema kuwa viongozi wa ukweli, watajulikana kipindi hiki cha mahangaiko na shida na taabu za wananchi!

Uzuri ama ubaya wa mtu, hufahamika wakati wa dhiki.

Ni wakati wa kufahamu huo ukweli, maana kuongoza siyo kukusanya kodi zetu pekee na kuzitumia unavyotaka!

Kuna mambo mengi tu ambayo Mungu atakuwa ameyaingilia kwa niaba ya watu walio wake.

Kama kuna wanaomuhubiri Mungu anayependa uonevu na ukatili, wajiandae. Hii ni kazi ya Mungu mwenyewe. Maana wenye macho hawakuona na wala wenye masikio hawakusikia!
UKWELI NI KWAMBA DUNIA TULIYOMO KWA JICHO LA KIROHO (MUNGU TUNAYEMWOMBA ATUOKOE NA HILI JANGA) IMEFANYA MAASI MENGI SANA! HIVYO TUSISAHAU KUTUBU KWA MACHOZI KABISA. UNAPOSHUHUDIA MABOMU YANAYOWASAMBARATISHA BINADAMU VIPANDE VIPANDE, WATOTO KUTUPWA JALALANI NA VYOONI, WATU KUPIGWA RISASI, WATU KUKATANA MAPANGA, NA NJIA NYINGINE NYINGI ZA DHULUMA IKIWEMO KUDHULUMU UHAI WA MTU VOTE HIVI NI MACHUKIZO MBELE ZA MUNGU NA MABAYA YANAPOTUPATA TUNAKOSA MSAADA WA MUNGU. TUTUBU, TUNYENYEKEE, TUACHE DHAMBI, MUNGU ATAIPONYA NCHI NA TUSIRUDIE MADHAMBI TULIYOZOEA KUFANYA.
 
Kwa mafunzo niliyoyapata toka kwa wakufunzi wa NATO, kuna vitu vya kuzingatia mara kunapokuwa na Crisis.

1) Automatically the most Senior Officer becomes the Crisis Management Manager. Maana yake, yule mwenye cheo kikubwa kuliko wote, moja kwa moja anakuwa Meneja wa Menejimenti ya Janga

2) Formation of Crisis Management Teams. Huwezi kuwa na timu moja kwenye Menejimenti ya Janga. Timu zinaweza kutofautiana kufuatana na aina ya janga, lakini msingi wake huwa haubadiliki:
a) Kamati ya Upashaji habari. Kukiwa na janga ni lazima kuwe na constant communication, kati ya kamati, kamati na idara za uokozi, kati ya kamati na jamii. Inategemea aina ya janga. Lakini mara nyingi inashauriwa, utoaji wa taarifa uwe kila baada ya nusu saa mpaka masaa 2. Usipofanya hivyo, unajenga mazingira ya watu kuzigeuza hisia kuwa habari kamili. Unataka kuliziba hilo pengo kwa utoaji wa habari za mara kwa mara. Ndiyo maana wenzetu wanakuwa na live updates.

b) Kamati ya uokozi. Kamati hii, umahiri wake upo katika kuwaokoa watu wengi kadiri inavyowezekana. Ufanisi wa kamati hii hutegemea nyenzo walizo nazo, taarifa wanazozipata toka idara za uchunguzi na intelijensia, ushirikiano wa haraka wanaoupata toka mamlaka za uamuzi. Lakini kwa vile yule mkubwa kabisa ndiye Meneji wa Menejimenti Timu, maamuzi hufanyika mara moja na kwa haraka.

b) Kamati ya uchunguzi na intelijensia. Kamati hii ndiyo yenye jukumu muhimu sana la kuzifanya kamati zote zitende kwa ufanisi. Wao hutoa taarifa sahihi za ukubwa wa janga, mwelekeo wa janga, uwezo wa kulikabili janga, uwezo uliopo wa kulishinda janga, mapungufu ya uwezo na mapendekezo ya njia za haraka za kulishinda janga. Kwa janga lililopo, kamati hii ndiyo ingekuwa pia na uwezo wa kutafuta taarifa za uwezekano wa wagonjwa ambao ama kwa kutojua au kwa makusudi wanaamua kutokwenda kuzitafuta huduma za afya kwa hofu ya kwenda kufungiwa bila kupewa huduma za kuwasaidia.

c) Kamati ya Rasilimali. Kamati hii kazi yake kubwa ni kutafuta rasilimali zinazohitajika. Wanapokea zaidi taarifa toka kwenye kamati ya uokozi na ya intelijensia. Kamati hii moja kwa moha inasimamiwa na Meneja.

d) Kamati ya Elimu na Uinuaji wa Morali. Hii kamati kazi yake ni kuwaeleimisha watu, kuwahamasisha na kujenga morali ya mapambano.

Kwetu hapa, kuhusiana na tatizo hili la Corona, inaonekana kuna tatizo kubwa katika menejimenti. Yawezekana hatuna wataalam wanaofahamu mbinu za kukabiliana na majanga, au wamepuuzwa.

Ni jambo la ajabu mno, kuona inapita hata siku nzima au 2 au hata 3, Waziri wa afya, ambaye nadhani ndiye kiongozi wa kamati ya Upashaji habari, hajasema lolote.

Kwa mtu anayejua wajibu wake, hawezi kufanya kosa kama hilo ambalo ni la wazi mno. Hata kuwaambia wananchi kuwa, leo hatuna maambukizi wala kifo, ni habari. Unakuwa umezuia ombwe ambalo watu watajaza habari zao.

Kwa nini tunashindwa hata kwenye basics tu. Ukiangalia TBC ni upuuzi mtupu. Ukiangalia TV stations za nchi nyingine, vipindi vingine vinaendelea, lakini chini au pembeni, unaona updates. Na ni nadra sana ikapita hata saa moja bila ya kusikia ujumbe unaohusiana na tatizo la Corona. TBC wanaona kuonesha taarabu au miziki ni muhimu zaidi kuliko kutoa elimu kwa watu, elimu ambayo ingeweza kusikia watu kuchukua tahadhari zaidi.

Labda tuseme kuwa sisi Tanzania hatupo kwenye mapambano dhidi ya Coronavirus. Huwezi kusema upo kwenye mapambano, halafu habari za hayo mapambano unaziweka kwenye mafaili.

Serikali yetu inaonekana kushindwa kumeneji mapambano haya au kwa makusudi, au kwa kutokujua au kwa ukaidi. Vyovyote iwavyo, kuna nafasi ya kujirekebisha.

Kwenye mapambano kama haya, Rais ndiye Meneja wa Menejimenti ya Crisis. Meneja wa Crisis anakaa hata wiki bila ya kuzungumza na watu wake ambao wanahitaji kusikia mipango, mbinu, mwelekeo na mwanga uliopo kuelekea ushindi. Hii inafikirisha, inaleta wasiwasi na kukatisha tamaa.
Wamesomeaha watu wa disasters management UDOM ila ndiyo hivyo hata hawajui kwanini walisomesha..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iko hivi kila idara ya serikali kuna department ya Public relations organizations, ambao. ndio weny jukumu hili kwa sababu ni professional, lkn kwa taasisi makini zinakuwa na CRISIS MANAGEMENT DEPARTMENT kabisa, kwa sababu tunajua jinsi demage inavyokuwa kweny taasisi kukiwa na crisis. Before haijawa CRISIS, inatangulia kuwa ISSUE kwa taasisi makini hapa wanaaza kufanya DIAGNOSIS ili kujua ukubwa wa tatizo. Na hapa ndipo serikali ilipuuziaa either kwa kujua au kutojua, lkn bado tulikuwa na nafasi ya kuonesha professionalism kweny maeneo mengi, sehemu nyingine muhimu ni Management team, ambayo inakuwa na spokesperson kwa ajili ya update muda wote. Kweny crisis kama hii, ambayo tayari ime threaten organizations, kwa sababu imesababish vifo tayari kulikuwa na umuhim mkubwa wa taarifa za mara kwa Mara. Lkn nakumbuka mwaka jana, hadi waziri mkuu alikiri jinsi public relations officers wengi wa serikali wasivyoitendea haki hiyo professional kweny ku delivery potential kwa serikali. Inawezekana post hizi zina wazee wengi ambao hawezi mudu how to communicate properly in crisis management.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
To be honest! Toka nisome ule waraka wa Baba Askofu Niyemugizi, nimekaa nikafikiria sana.

This is a defining moment, not only for our beloved country, but the whole world!

Kwa uhakika kabisa, viongozi walioenda kwenye kikombe cha babu, wasingeweza kukabiliana na janga ama acrisis kama hii!

Ni kweli kabisa kuwa watawala wetu wanatu reflect sisi wananchi wenyewe na kuna mtu huwa alikuwa anasema tusijilaumu na kutaka tupate viongozi walio tofauti na sisi.

Sasa dini na imani ndivyo vimeachwa vilivushe Taifa ambalo kwa kiasi kikubwa liko nyuma kwasababu ya mambo kama hayo! I am sad beyond words to explain!

Kwa kumalizia, niseme tu huko mbeleni, tutatambuwa tabia halisi za wanadamu nyakati za dhiki. Huwa wanasema ukweli wa mtu alivyo, huwa unaonekana wakati wa shida! Na pia ni nasema kuwa viongozi wa ukweli, watajulikana kipindi hiki cha mahangaiko na shida na taabu za wananchi!

Uzuri ama ubaya wa mtu, hufahamika wakati wa dhiki.

Ni wakati wa kufahamu huo ukweli, maana kuongoza siyo kukusanya kodi zetu pekee na kuzitumia unavyotaka!

Kuna mambo mengi tu ambayo Mungu atakuwa ameyaingilia kwa niaba ya watu walio wake.

Kama kuna wanaomuhubiri Mungu anayependa uonevu na ukatili, wajiandae. Hii ni kazi ya Mungu mwenyewe. Maana wenye macho hawakuona na wala wenye masikio hawakusikia!
25/10/2015
 
Iko hivi kila idara ya serikali kuna department ya Public relations organizations, ambao. ndio weny jukumu hili kwa sababu ni professional, lkn kwa taasisi makini zinakuwa na CRISIS MANAGEMENT DEPARTMENT kabisa, kwa sababu tunajua jinsi demage inavyokuwa kweny taasisi kukiwa na crisis. Before haijawa CRISIS, inatangulia kuwa ISSUE kwa taasisi makini hapa wanaaza kufanya DIAGNOSIS ili kujua ukubwa wa tatizo. Na hapa ndipo serikali ilipuuziaa either kwa kujua au kutojua, lkn bado tulikuwa na nafasi ya kuonesha professionalism kweny maeneo mengi, sehemu nyingine muhimu ni Management team, ambayo inakuwa na spokesperson kwa ajili ya update muda wote. Kweny crisis kama hii, ambayo tayari ime threaten organizations, kwa sababu imesababish vifo tayari kulikuwa na umuhim mkubwa wa taarifa za mara kwa Mara. Lkn nakumbuka mwaka jana, hadi waziri mkuu alikiri jinsi public relations officers wengi wa serikali wasivyoitendea haki hiyo professional kweny ku delivery potential kwa serikali. Inawezekana post hizi zina wazee wengi ambao hawezi mudu how to communicate properly in crisis management.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tusiwalaumu PROs wa wizara, maana sina uhakika kama wana huo uhuru wa kutumia taaluma zao au wanasubirigi kuambiwa sema hiki, acha hiki. Mwenye uwezo wa kutangaza chochote bila kubanwa ni Bashite peke yake. Nani mwingine?
 
Anafuta hela za vikao vya kamati tu huyo Hana lolote.Anatafuta ujumbe wa kamati .Enzi za kikwete zilishapita!!!!
Katika miaka yangu michache hapa jf na kusoma thread mbalimbali wewe jamaa nimekuweka kwenye top ten ya vilaza hapa jf.

HUtumiagi ubongo wewe nahisi kuna kiungo chengine unachotumia kwaajili ya kufiikiria.

Hunaga point mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza sidhani unachokisema ni sahihi. Ni lini mara ya mwisho kupata updates za ugonjwa huu? Masaa 48 (siku 2) hayajafika?

Updates utoe kila baada ya muda gani - hutegemea aina ya janga. Lakini muda unaoshauriwa, isiwe zaidi ya masaa 2 bila update. Hii inaweza kuwa screen update (kama zile number unazoziona kwenye TV stations za CNN au BBC), lakini detailed update, inatarajiwa angalao isipungue mara 1 katika masaa 24.

Kinacholengwa zaidi ni kutotengeneza ombwe la habari, na watu wakaliziba. Kiuhalisia huwezi kutunza ombwe. Kama huna cha kuweka ili kuziba ombwe, kuna watu watalijaza.

Wewe hujasikia watu wakisema kuwa serikali inaficha taarifa za maambukizi na vifo vinavyotokana na Coronavirus? Unadhani habari kama hizo, zaidi zinachangiwa na nini?

Haikustahili watu kushuhudia marehemu aliyefariki kwa maradhi ya Covid 19, kabla ya serikali kutangaza vifo vilivyotokea. Watu wakijua kuna mtu amefariki kwa Coronavirus wakati serikali haijatangaza, hata kama Serikali haikuwa na nia ya kuficha chochote, watu wanapata uthibitisho wa yale yanayosemwa kuwa Serikali inaficha taarifa, kwa sababu kwa muda ule, tayari wana uthibitisho. Lakini kiuhalisia, huenda Serikali imepanga kutangaza taarifa ya vifo siku 2 au 3 mbele.

Government must not create an environment for gossiping.

Umeongea fact. Serikali.isipotoa updates za mara kwa mara...kuna watu wataziba hilo ombwe. Mfano ni kigogo wa twitter na kuna mwingne wa fb anajiita coronavirus tz na wana mashabiki nyomi.

Hakuna neno umeongea la uongo. Kongole.
 
Daaah aisee hii post ndio andiko langu bora kuliko andiko lolote ndani ya jamii folum.hongera ndugu kwa mawazi yako mazuri sana .nakuunga mkono kwa asilimia zote.Hata mimi nashangaa ukifungua tv na radio stations yaani wao muda wowote kupiga musik tu.sijui wanaona raha gani kipindi hiki.

Sent using Jamii Forums mobile app

Watu wakisema nchi imekabidhiwa kwa WASHAMBA Mafisccm yanafura Kama vyura....!!!
Tayari Kuna Mbunge Kesha AMBUKIZWA na maambukizi yeshafikia 257...!!Kirusi kinazidi kusambaza kwa Kasi! Mzee baba kajificha Chato!
 
Kwetu hapa, kuhusiana na tatizo hili la Corona, inaonekana kuna tatizo kubwa katika menejimenti. Yawezekana hatuna wataalam wanaofahamu mbinu za kukabiliana na majanga, au wamepuuzwa.
Vipi Us,china,ufaransa na Italy nako hawana watu hao?
Mnapenda sana kulaumu wakati ujuzi husika ,hamna
 
Back
Top Bottom