PAPAKINYI - SJUT 2013
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 367
- 251
mi si mmoja wao, nashukuru Mungu! lakini najua kuwa wapo wengi sana (wasioenda shule)....unaweza kuwashuhudia kwenye mikutano ya siasa wakipiga kelele, vigodoro n.k.Mkuu kwa hiyo wewe sio mtanzania?
Au wewe upo kwenye kundi lipi la hao mambumbumbu?