Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
kwa nini serikali yetu ya tz sio efficient na effective katika shughuli zake.Tatizo ni nini,mfano mipango mingi ya mendeleo huchelewa kutimizwa.
na jamaa yuko ziarani tanga na atakaa huko kwa muda wa siku 9, nahuko nako ataahidi ya kuahidi halafu utekelezaji sifuri...lakini yote hayo ndo matokeo ya kuchagua sura badala ya wachapa kazi
Sioni shida kwa yeye kwenda Tanga maana wananchi wenzetu Tanga nao wana haki na raisi wao...asipotutembelea pia tutalalamika. Tumpeni nafasi afanye kazi badala ya kumlaumu kwa kila jambo
Kwani akikaa Dar nako atafanya nini cha tofauti kama tayari inaonekana hafanyi kitu?Sawa kuwatembelea ni sawa lakini hakuna jipya la kufanya huko wewe mama!
Atawaacha na hali zile zile tu! Kwani muhimu ni rais kufika au rais kuhakikisha mambo yanakwenda? Kote alikokwisha tembelea na kutoa ahadi kibao tumesikia wabunge wa sisi emu wakilalama bungeni hakuna lolote limefanyika. Na huko Tanga wanaenda kuvuna hayo hayo?
kwa kifupi watu wanahitaji maendeleo na si sura yake wala ahadi zake hewa...
Kura yangu japo isilete mabadiliko makubwa lakini this time haiwezi kwenda kwa mtu asiye na mipango an ambaye atashindwa kuelezea kinaga ubaga na kuni-convince kuwa yeye sio mwenzao.