GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,405
- 2,953
Wana Jf
Kuna habari nilizipata juzi nilichelewesha kufikisha,inasemekana kuna mgonjwa anajulikana kwa jina la Mzee Nassor alikuwemo katika Mv Spice ilizama huko zanzibar Week iliyopita,mzee huyo alikuwa katika hali mbaya na kukimbizwa muhimbili,alipofika muhimbili ilishindikana kupatiwa matibabu kutokana na fedha.
Cha kusikitisha serikali ya mapinduzi ya znz imepokea mamilioni ya fedha kwa waathirika,pamoja na vifaa vya matibabu na dawa na vyakula.
Jee kweli tunamatumaini gani na serikali zetu hapa nchini ? Tuwaelewe vipi viongozi wetu ?
Kuna habari nilizipata juzi nilichelewesha kufikisha,inasemekana kuna mgonjwa anajulikana kwa jina la Mzee Nassor alikuwemo katika Mv Spice ilizama huko zanzibar Week iliyopita,mzee huyo alikuwa katika hali mbaya na kukimbizwa muhimbili,alipofika muhimbili ilishindikana kupatiwa matibabu kutokana na fedha.
Cha kusikitisha serikali ya mapinduzi ya znz imepokea mamilioni ya fedha kwa waathirika,pamoja na vifaa vya matibabu na dawa na vyakula.
Jee kweli tunamatumaini gani na serikali zetu hapa nchini ? Tuwaelewe vipi viongozi wetu ?