jaribu kusoma ndugu yangu alama za nyakati wana falsafa wanakubali kwamba "ukweli wa leo ndo uongo wa kesho" na kiakili binadamu wanabadilika na hii utaiona siku moja pale cdm watakaposhika nafasi hata ya mbunge wanakua na lugha ya hamasa kwa kupenda kuchaguliwa na kwa lugha zao unaweza fikiri hawa jamaa hata posho zao waweza kutumia kwa ajili ya umma, angalia sasa watakapokua madarakani gari milioni tisini (hata hawaulizi hivi walim wetu mishahara vipi inatosha? au wale mababu tulokua tukiwaliza wakati wa kampeni wako wapi na wana hali gani?) sioni ajabu mkipinga lakini wanasiasa asilimia tisini na tisa waongo, wanapenda kusema sana ya watu(ya kwao kapuni, waguse uone utavyotukanwa mfano halisi ni hapa hapa jf) hivi jiulize kama mtu apenda wananchi atawapenda kuliko baba yake mzazi? wapi na jinsi gani tulimuona mzazi wa dr wetu, ndo yule alooneshwa wakati wa kampeni? na wakati huo mwanae analala hotel za hadhi ya juu kabisa? acheni kufatilia sana maneno ya watu, kama ukitaka kufanya hivyo. tupe kwanza madhaifu yako sio tu ya wenzako? keep it up!JK kwa jinsi alivyo; alikuwa anawanadi RA, EL, CHENGE, na PESA MBILI (Kichaga besa iwiri) kuwa ni watu safi afu leo anasema ni wezi si ujuha huu? mshikaji ni ndumila kuwili.
JK kwa jinsi alivyo; alikuwa anawanadi RA, EL, CHENGE, na PESA MBILI (Kichaga besa iwiri) kuwa ni watu safi afu leo anasema ni wezi si ujuha huu? mshikaji ni ndumila kuwili.