Kwani kuna shule zimeongeza ada...?
Kama ni mazungumzo ya chakula na ada basi yatazilenga siku 17.
Nilitumiwa mchanganuo wenye siku 17 tu. Ambazo zimefidiwa kwa masaa, ambapo hayo masaa ukiyagawa yanaleta siku 30. Kwa hiyo kuna ziada ya siku 13 katika masaa.Zimepungua siku 23 za masomo. Ni kama mwezi mzima
Nilitumiwa mchanganuo wenye siku 17 tu. Ambazo zimefidiwa kwa masaa, ambapo hayo masaa ukiyagawa yanaleta siku 30. Kwa hiyo kuna ziada ya siku 13 katika masaa.
N.b Ninasomesha watoto wangu katika madarasa yasiyo ya mtihani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu naiona jazba yako dhidi ya wamiliki wa mashule hasa ukirejea na uzi wako, kimsingi wameelekeza ada ilipwe kulingana na makubaliano yaliyokuwepo mwanzo wa mwaka. Pasiwepo na nyongeza ya aina yoyote ile. Na kwa upande wa wazazi wameaswa kulipa bila kulalamikia siku ambazo watoto hawajaenda shule. Ila kwa michango ya chakula na nauli imeachwa kuwa busara ya body za shule husika zijadili.Mara wapokelewe pasipo vikwazo Wakati wanajua kuwa vikwazo ni Ada, huku wanasema wazazi walipe Ada sasa huuyu kaandika nini? Katatua nini? Si ameongeza utata? Anazungumzia nyongeza, hiyo nyongeza ni ipi? Kwa nini huyu alieandika hii barua asijiuzuru? Maaana barua haieleweki imetatua nini