Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,918
- 95,201
Hao ni watiifu na siyo wakosoaji na viherehereNGO's & CBO's are non governmental and non profit organizations. Kwa nn wazifuatilie mapato wakati hazifanyi biashara? Waanze na vyama vya wafanyakazi ambavyo viko chini ya TUCTA maana ndo vinaumiza watumishi kwa makato ya mishahara. Kuna wale wanaitwa CWT wanaumiza sana walimu na mapato yao hayajulikani yanaenda wapi.