Hakuna cha kupumzika wala nini! Atapondwa mpaka nasi tutakapo iaga dunia.
Pale lango la kuzimu kuelekea huko Nyerere, kenyattta, Moi. Idd amini walimzodoa sana!! dogo ulizidi kwa unoko!!...umekuja huku kwa kujitakia! wenzako tulitubu!! wewe ukaja mzima mzima!! ona sasa!!

huko anatamani arudi aombe msamaha kwa aliowapiga risasi, alio wateka kina Mo!! lkn mwili umeshaoza, na anamuona Mo anavosali kwa kupeta na bidii anamtamani lkn wapi!! anakufa kwa kiu!

hata tutakapo iaga Dunia tutamponda tu!! ...........aliiga ya Idd amini, mwenzake aliona ''duuu!! hiii niliyo fanya hataaa!! alitubu mapemaaa! kabla hajafa!!...pamoja na jiwe kwenda kanisani lkn Mungu hakumpa nafasi duuuuu!!

Alikuwa ana mdhihaki Mungu mnooo!! hii iko wazi!!
 
Asante mama umeonesha kujali human rights kwa vitendo. Hivi JPM angekuwa bado anaongoza hata kwenda chooni kun** so tungekuwa tunaomba ruhusa serikalini! Maana udictator ulikuwa umeota mizizi.

Mi naona mama anatufuta machozi sana. Hakiyamungu juzi Nape alipoyafungua magazeti yale nilililia kwa furaha na kumshukuru Mungu, maana ametuondolea laana!!!
Ewe mtumishi wa cheti bandia!

Endelea kujiuliza mpaka jioni,halafu utuambie kama jibu limekupa chakula cha jioni.

Shame on Ikitotanzila
 
Kama walikuwa wapiga fili mbona kila kesi ikienda mahakaninserikali unapigwa mweleka. Sema alikuwa mkurupukaji tu ndo Mana mama alipoingia mahakani kesi za jpm zote za kuwabambika watu hazina ushahidi amezifutq zote eg rugemalila na mwenzake. Alitutia hadara ya kukamata meli kisa akili yake finyu.

Hata hao aliodai vyeti feki Ni uzushi mahakama ndo yenye mandate ya kuaidentify ni vyeti feki au lah. Asingekufa fasta walikuwa wnajipanga kwenda mahakani na I'm sure serikali ingeangukia pua chini ya nguli wa sheria Tundu lisu ambaye mpaka kalamagamba anamuogopa Kama ukoma jpm akaona Bora amchape risasi tu
yaani usihangaike na hiyo mi mtu ya chato,, haikusoma miingi!! yalikuwa yanadhani urais ni deal! upendeleo na kuchota pesa nyeti tuu kuumbe ni taasisi nzito!!hayana akili
 
Moja ya sign kubwa ya udikteta ni "centralization of information" yaani taarifa zote yapaswa zitoke sehemu moja tu na kwa amri ya mtu mmoja.
 
Ewe mtumishi wa cheti bandia!

Endelea kujiuliza mpaka jioni,halafu utuambie kama jibu limekupa chakula cha jioni.

Shame on Ikitotanzila
Mbona Rais fake hamsemi??? km vyeti fake rais pia fake kwa nini aliiba kura?? Nape anajua mengi sana!! ana dhambi anakemea dhambi Mungu kamuumbua
 
Hizi mada za Magufuli Magufuli mumuache Apumzike basi hatupo naye
Hawezi jibu chochote
kingine Hatamkimchukia haita wasaidia kitu Hayupo
Matendo ya mtu hayafutiki kamwe.Idd Amin,Musolin,Hitler wanatajwa hadi leo kwa ujatili waliofanya dhidi ya binadamu.Hata Magufuli atatajwa tu upende usipende
 
Back
Top Bottom