smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,977
- 3,066
Pale lango la kuzimu kuelekea huko Nyerere, kenyattta, Moi. Idd amini walimzodoa sana!! dogo ulizidi kwa unoko!!...umekuja huku kwa kujitakia! wenzako tulitubu!! wewe ukaja mzima mzima!! ona sasa!!Hakuna cha kupumzika wala nini! Atapondwa mpaka nasi tutakapo iaga dunia.
huko anatamani arudi aombe msamaha kwa aliowapiga risasi, alio wateka kina Mo!! lkn mwili umeshaoza, na anamuona Mo anavosali kwa kupeta na bidii anamtamani lkn wapi!! anakufa kwa kiu!
hata tutakapo iaga Dunia tutamponda tu!! ...........aliiga ya Idd amini, mwenzake aliona ''duuu!! hiii niliyo fanya hataaa!! alitubu mapemaaa! kabla hajafa!!...pamoja na jiwe kwenda kanisani lkn Mungu hakumpa nafasi duuuuu!!
Alikuwa ana mdhihaki Mungu mnooo!! hii iko wazi!!