Lyaule Kitundu
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 758
- 1,024
Tafuta mtu wa type yako aisee
Kuna utata gani jaduong huyu anawaambia tafadhali msiache kuja ila kwa sasa aihirisheni safari zenu kwanza. Au mnapenda kukuza mambo tu wakati ni suala dogo.Bababuko, onikoyaga gete !!
Sasa msemaji wa chama katamka, na chama kimeshika hatamu . Halafu waziri (serikali) naye kasema tofauti kwa mwananchi yule yule . Ashike lipi ?!
Mnahila huko nyakagwe au malawi ?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiazi cha CCM hikiNi nyie!
Unaniambia nitafute hela nimekwambia mimi ninashida ya hela?Kama hujui ni wewe au ni polepole basi usijisumbue we jisumbue kutafuta hela tu.
Umepanic!Kiazi cha CCM hiki
Sijapaniki.nakushangaaUmepanic!
Basi tafuta umaskini.Unaniambia nitafute hela nimekwambia mimi ninashida ya hela?
Kwani nimekwambia mimi ni tajiri?Basi tafuta umaskini.
😂😂Kwani nimekwambia mimi ni tajiri?
Haya tuliza makalio😂😂
Langu limetimu.
Taja nchi yenye perfect democracy basiDunia ipi unayoisemea? Tofautisha dunia ya akina Museveni (Afrika) na Dunia ya wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwashee kuna tofauti kati ya taarifa ya chama na taarifa ya serikali.
Leo imeongea serikali!
Itakuwa hivyo, ndiyo maana anawaambia ambao wameshapanga eti wasogeze tarehe za mbele. Kama wameshafanya booking watasogeza mbele mpaka tarehe ngapi na huku hatujui ni lini wataudhibiti huko Ulaya na marekani.Baada ya kuona hakuna ndege unayo kuja siyo??
Tuendelee kufanya makosa yanayoonekana wazi, kwa kuwa tu hakuna nchi yenye democracy kamili ?!.