Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,832
- 18,824
Mbunge wa Tandahimba Katani Ahmed Katani amefunguka na kusema serikali imewataka baadhi ya wakulima kurudisha fedha walizolipwa baada ya korosho zao kuonekana hazina ubora
Amesema korosho hazijawahi kuwekewa madaraja tangia waanze kuzalisha korosho ila serikali ilipoamua kununua ndipo ikajitokeza korosho nyingine kuitwa za daraja la pili
Korosho zinazofikikia tani 50 zimerudishwa kwa wananchi na huku zaidi ya tani 2, 000 zikisemwa ni daraja la pili
Amesema korosho hazijawahi kuwekewa madaraja tangia waanze kuzalisha korosho ila serikali ilipoamua kununua ndipo ikajitokeza korosho nyingine kuitwa za daraja la pili
Korosho zinazofikikia tani 50 zimerudishwa kwa wananchi na huku zaidi ya tani 2, 000 zikisemwa ni daraja la pili