Serikali yawataka wakulima wa korosho kurudisha fedha, korosho zao hazina ubora

Hiki kipimo cha madini yetu yaliyo ndani za kuta madege na mengine ya kutosha alafu tupate picha 2025 tutakua wap


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sio wanasiasa wetu, sema jiwe ndio anajifanya anajua biashara, kilimo nk. Jiwe amedhibiti vyombo vya habari kwakuwa anajua yeye ni mtu wa kuharibu hivyo hataki udhaifu wake uandikwe. Haya Madudu yote yanatokea maana hana pressure ya vyombo vya habari.
Tuweke kumbukumbu sawa; Alifukuza mawaziri wawili baada ya kuona hawaendani na anachokitaka kuhusiana na hili swala la koroshow

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawaonea huruma sijui msimu ujao utakuwaje kwa wakulima wa korosho kusini. Zao linaloshikilia uchumi wao ndio hivyo tena; Nauwona umasikini mkubwa sana ukiikumba kusini

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani sasa nchi haieleweki kabisa... Viwanda vimemshinda... Kilimo nacho Kinamshindaa... Biashara ndo usisemee aisee... Frame zinafungwa kila sikuu...Hivi Jiwe anaweza fanya nini??? Au bombadiaa tu ndo sera anayowezaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani sasa nchi haieleweki kabisa... Viwanda vimemshinda... Kilimo nacho Kinamshindaa... Biashara ndo usisemee aisee... Frame zinafungwa kila sikuu...Hivi Jiwe anaweza fanya nini??? Au bombadiaa tu ndo sera anayowezaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Amebakisha wapi kuvuruga maana sioni sehemu yeyote ya kiuchumi ambayo takimu zake zimepanda na kuzipiku za mwisho za utawala wa aliyemtangulia.
Labda kwenye ongezeko la makusanyo ya kodi na hatuoni tangible effect yake kwenye uchumi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge wa Tandahimba Katani Ahmed Katani amefunguka na kusema serikali imewataka baadhi ya wakulima kurudisha fedha walizolipwa baada ya korosho zao kuonekana hazina ubora

Amesema korosho hazijawahi kuwekewa madaraja tangia waanze kuzalisha korosho ila serikali ilipoamua kununua ndipo ikajitokeza korosho nyingine kuitwa za daraja la pili

Korosho zinazofikikia tani 50 zimerudishwa kwa wananchi na huku zaidi ya tani 2, 000 zikisemwa ni daraja la pili


ingawa Mh. mbunge anaonekana kupinga jimbo lake kutozalisha korosho la daraja la tatu lakini hakupinga kuwa kurosho zinazorudishwa kwa kuwa si za kwao, hii inaonyesha kuwa miaka mingine wakaguzi wa korosho aidha hawakuwa makini au walishirikiana na wakulima kufanya hila na kuzipitisha bila ya kupanga madaraja, sasa waache kulalamikia serikali, watendaji wa serikali hii sasa wapo makini, wakulima wajirekebishe wawe wakweli wakati wa kuwasilisha korosho zao ghalani
 
Mbunge wa Tandahimba Katani Ahmed Katani amefunguka na kusema serikali imewataka baadhi ya wakulima kurudisha fedha walizolipwa baada ya korosho zao kuonekana hazina ubora

Amesema korosho hazijawahi kuwekewa madaraja tangia waanze kuzalisha korosho ila serikali ilipoamua kununua ndipo ikajitokeza korosho nyingine kuitwa za daraja la pili

Korosho zinazofikikia tani 50 zimerudishwa kwa wananchi na huku zaidi ya tani 2, 000 zikisemwa ni daraja la pili


kama korosho zilizorejeshwa ni zenu sasa mnalalamika nini ? hii inaonyesha mmekuwa mkifanya udanganyifu wakati wa ukusanyaji ghalani kwa kujiandikia daraja la kwanza. acheni kuingiza siasa pambaneni na hali zenu.
 
Mbunge wa Tandahimba Katani Ahmed Katani amefunguka na kusema serikali imewataka baadhi ya wakulima kurudisha fedha walizolipwa baada ya korosho zao kuonekana hazina ubora

Amesema korosho hazijawahi kuwekewa madaraja tangia waanze kuzalisha korosho ila serikali ilipoamua kununua ndipo ikajitokeza korosho nyingine kuitwa za daraja la pili

Korosho zinazofikikia tani 50 zimerudishwa kwa wananchi na huku zaidi ya tani 2, 000 zikisemwa ni daraja la pili

[/QUOTE
Mmezoea vya kunyonga vya kuchinja hamviwezi!!!! Mh.Katani wambie watu wako wawe waaminifu katika upangaji wa madaraja ili kuepukana na hasara kama hizi,mambo ya ujanja ujanja yamepitwa na wakati
 
Dhuluma dhidi ya Wakulima wa Korosho yaendelea. Utanunuaje kitu bila kutathmini ubora wa kitu hicho? Ndiyo matatizo ya ukurupukaji bila kutafakari kwa kina.


Tobaaaaaaa!
 
Tatizo la kukurupuka bila kutafakari kwa kina na kudhani kwa kuliamrisha jeshi kubeba korosho na kudanganya umma wa Watanzania kwamba pesa za kununua korosho zote zaidi ya tani 200 ipo na imeshatengwa kumbe ulikuwa ni UONGO wa hali ya juu.

Ina maana walinunua bila ya kuhakikisha ubora?

Sasa Kwanini walishinikiza Wafanyabiashara binafsi wanunue korosho zote kwa bei Moja Elekezi wakati Korosho wametambua zina Madaraka?

Tatizo la Wanasiasa wetu wanaamini wao wana weledi wa Biashara, Uvuvi , kilimo, uimbaji, uchezaji Mpira , U DJ , n.k

Eneo pekee wanaloheshimu taaluma Ni Uchawi ndio sababu wachawi hawabughudhiwi
 
Kipanya amekwisha onesha ubora huo wa korosho. Sasa ubora umeporomoka kabla ya kuuzwa au baada ya kuuzwa? 'Mali ikishauzwa pesa hairudishwi.'

1550884753160.png
 
Naomba mkuu wangu wa mkoa hapa mtwara kama ilicyokuwa mwanzo atuandalie maandamano ya kuunga mkono juhudi
 
Ubora wameupimia wapi? Sokoni? Hivi vitu vya ajabu sana Serikali inajiingiza kwenye migogoro na wananchi wake, Ingewaachia wafanya biashara wala haya yasingetokea.
 
Back
Top Bottom